Jengo gani ni refu kuliko yote Jijini Dar es Salaam?


Hii Wikipedia article ime litaja hili jengo kama la tatu, si la nne kwa urefu Afrika.

Hii article ishakuwa outdated?

http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_tallest_buildings_in_Africa
 
Bongo Siku Hizi huhitaji chopa kupata taswira Kama Hizi , zimepigwa toka jengo la uhuru heights pale bibi titi Mohamed road

Mkuu picha ni nzuri kiasi cha kudhani chopa inahusika kumbe laa!
 

Ukiwa Mkoani inabidi ikiwa unapata nafasi ni kwenda Dar kutembea vinginevyo unaweza sahau mitaa yaani hizi picha Mkuu miaka ya nyuma tungesema chopa sijui nini.....
:A S thumbs_up:
 
sasa hapo umemsaidia nini? Mi nadhani litakuwa lile linalomaliziwa kujengwa la uvccm pale karibu na fire

Haya endeleeni kumsaidia, katumwa huyo, anatafuta jengo la kulipua, na wote mlio muelekeza hapa nime wa note down kwaajili ya uchunguzi
 
PSPF TOWER imeshaanza kutoa huduma kwa maana ya watu kwenda kupangisha ofisi ?
 
Jengo refu lipo pale sayansi victoria jaman lile ndo mwisho wa maelezo


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Jengo refu lipo pale sayansi victoria jaman lile ndo mwisho wa maelezo


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Hahaha utakuwa unatania mkuu, viktoria kuna ghorofa refu kweli? Tan house?Ile apartment? Au bmtl
 
ni jengo ambalo liko sokoine drive , lipo opp na tra hq upande wa baharini, ni reeefu na bado linapanda ujenzi haujaisha bado sidhani kwa dar hii liko lingine kuzidi hilo.
 
ni jengo ambalo liko sokoine drive , lipo opp na tra hq upande wa baharini, ni reeefu na bado linapanda ujenzi haujaisha bado sidhani kwa dar hii liko lingine kuzidi hilo.

kuna jingine kama sikosei lipo sambamba na Tra au ofisi za manispaa,sokoine drive ni refu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…