EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Jengo la ghorofa 7 lililokuwa linajengwa katika eneo la Kasarani Jijini Nairobi limeanguka huku zaidi ya mafundi 10 wakiwa ndani ya jengo hilo
Wananchi wamefanikiwa kuwaokoa watu wawili waliokimbizwa hospitalini huku jitihada za kuwaokoa wengine zikiendelea #EastAfricaTV
___________
Nyie jamaa acheni wizi wa siment kila mara majengo yanaporomoka na mnajisifia mna viwanda vingi vya cement na architects engineers
Wananchi wamefanikiwa kuwaokoa watu wawili waliokimbizwa hospitalini huku jitihada za kuwaokoa wengine zikiendelea #EastAfricaTV
___________
Nyie jamaa acheni wizi wa siment kila mara majengo yanaporomoka na mnajisifia mna viwanda vingi vya cement na architects engineers