NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,796 Feb 29, 2016 #1 Ninesikia hiyo Taarifa, mwenye kujua zaidi atufahamishe.
cpt JF-Expert Member Joined May 19, 2010 Posts 1,049 Reaction score 715 Feb 29, 2016 #2 Duh...!! Tatizo watoto wa technical utundu mwingi....!Nasikia hadi bweni la Mkapa washalikaanga.
NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,796 Feb 29, 2016 Thread starter #3 cpt said: Duh...!! Tatizo watoto wa technical utundu mwingi....!Nasikia hadi bweni la Mkapa washalikaanga. Click to expand... Hii ya leo ikoje mkuu kama una Taarifa?
cpt said: Duh...!! Tatizo watoto wa technical utundu mwingi....!Nasikia hadi bweni la Mkapa washalikaanga. Click to expand... Hii ya leo ikoje mkuu kama una Taarifa?
Shindu Namwaka JF-Expert Member Joined Sep 22, 2014 Posts 4,911 Reaction score 3,083 Feb 29, 2016 #4 Ebwaneee Du hilo ni tatzo
LUBEDE JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 4,320 Reaction score 6,686 Feb 29, 2016 #5 Napenda na ule uwanja wa kikapu uungue ujengwe mpya..
NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,796 Feb 29, 2016 Thread starter #6 Nimepata Taarifa ni kweli mabweni matatu yameungua, chanzo cha moto ni umeme.