Jengo la Serikali jipya linaloelekea kutelekezwa

Jengo la Serikali jipya linaloelekea kutelekezwa

Kwaasenga

Member
Joined
Jan 28, 2023
Posts
74
Reaction score
104
Kuna ujenzi wa jengo la Serikali linanohusiana na kuhifadhi chakula kwa njia ya mionzi ulikuwa unaendelea pembezoni mwa barabara inayoelekea Mpigi Magoe kutokea Mbezi.

Hili jengo lilikuwa linajengwa na Wachina na walifikia hatua ya kufitisha madirisha. Lakini naona si chini ya miezi minne kila kitu kimeondolewa site.

Naomba wahusika watuambie, ndo wamemaliza, wametelekeza au wanajipanga upya??
 
Nitaileta kesho. Ila wanaokaa maeneo hayo wanajua kuwa kuna jengo la kuhifadhi chakula kwa njia ya mionzi lilikuwa linajengwa na limesimama.
 
Najua wanahusika wamo humu. Na wewe siyo mhusika. Unadhani umeisoma wewe peke yako? Siyo lazima kila post ucomment
Umejuaje kama mimi sio mhusika,au wahusika wa humu jf wana alama?
 
Sio uzi tena ni takataka..
Ukiona unahitaji picha, jua post haikuhusu. Huwezi jua kila eneo na kila kitu. Wahusika wamo humu wamesoma. Tujifunze pia kuwa siyo kila post lazima uweke comment. Ukiona huielewi, achana nayo. Hata kuifungua usifungue kabisa.
 
Back
Top Bottom