NakaziaPicha plz
NakaziaBila picha?
Ni umbea kama mwinginePicha plz
Kwa nini na hii habari usingeileta kesho?Nitaileta kesho. Ila wanaokaa maeneo hayo wanajua kuwa kuna jengo la kuhifadhi chakula kwa njia ya mionzi lilikuwa linajengwa na limesimama.
Nikitaja eneo na jengo wahusika wamelijua. Ukiona jengo hulijui basi wewe hii habari haikuhusu kwa maana huna msaada wowote.Kwa nini na hii habari usingeileta kesho?
Kwa nini uliiweka humu sasa kama hainihusu?Nikitaja eneo na jengo wahusika wamelijua. Ukiona jengo hulijui basi wewe hii habari haikuhusu kwa maana huna msaada wowote.
Sio uzi tena ni takataka..Bila picha?
Najua wanahusika wamo humu. Na wewe siyo mhusika. Unadhani umeisoma wewe peke yako? Siyo lazima kila post ucommentKwa nini uliiweka humu sasa kama hainihusu?
Umejuaje kama mimi sio mhusika,au wahusika wa humu jf wana alama?Najua wanahusika wamo humu. Na wewe siyo mhusika. Unadhani umeisoma wewe peke yako? Siyo lazima kila post ucomment
Ukiona unahitaji picha, jua post haikuhusu. Huwezi jua kila eneo na kila kitu. Wahusika wamo humu wamesoma. Tujifunze pia kuwa siyo kila post lazima uweke comment. Ukiona huielewi, achana nayo. Hata kuifungua usifungue kabisa.Sio uzi tena ni takataka..
Halama!!! Hili tu linanifanya nithibitishe kuwa wewe siyo mhusika.Umejuaje kama mimi sio mhusika,au wahusika wa humu jf wana halama?
Ntaachaje kuwa mhusika wakati kodi yangu ndio inayojenga hilo jengo?Halama!!! Hili tu linanifanya nithibitishe kuwa wewe siyo mhusika.
Mbeya huyo🤣 acha naye.Kwa nini uliiweka humu sasa kama hainihusu?