Jengo la Utawala la Chuo Kikuu Makerere lateketea kwa moto

Jengo la Utawala la Chuo Kikuu Makerere lateketea kwa moto

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Moto mkubwa umezuka katika jengo la Utawala la Chuo Kikuu cha Makerere Jijini Kampala nchini Uganda usiku wa kuamkia leo

Jengo hilo ni moja ya vivutio Jijini Kampala hivyo taarifa za kutokea kwa moto zimewaumiza wengi

Hadi sasa chanzo na kiwango cha hasara iloyosababishwa na moto huo havijajulikana

Ujenzi wa Jengo hilo ulikamilika mnamo mwaka 1941 chini ya Uongozi wa Mkuu wa Chuo wa wakati huo (1939-1946), George C. Turner

=======

A major fire has engulfed the 79-year-old Makerere University Main Administration Building in Kampala.

“The Main Building – Ivory Tower has caught fire,” Makerere University announced on Sunday morning.

“The fire brigade is on ground,” the campus added.

The cause of the fire remains unknown.

The building is considered one of Uganda’s most famous landmarks.

ChimpReports was unable to obtain a comment from authorities at 1:27am when we posted this story as calls went unanswered.

Pictures show the roof of the main building burning uncontrollably.

Makerere said Police Fire Brigade were “trying to put out the fire which has now covered almost half of the roof. It’s a trying moment for us.”

The roof of the main building being engulfed by fire

Construction of the main building was completed in 1941 under the leadership of Mr. George C. Turner, Principal, Makerere College (1939-46).

Earlier in 1938, the Duke of Gloucester, representing His Majesty King George VI had cut the first sod for the construction of the building on 3rd November.

The Main Building with its unique 20th century British architecture is easily Makerere’s most recognisable symbol and was constructed with funds from the Colonial Development bourse.

The building’s construction was greatly delayed by a scarcity of resources to purchase materials as Britain and her allies grappled with the expenses of World War II.

As a result, some of the carpentry work had to be done on-site at the Technical College.

The Principal then focused on turning Makerere into a University College and establishing buildings.

As a result both the St. Francis and St. Augustine Chapels were completed in the same year 1941 and by 1944, plans for the establishment of a School of Civil Engineering at Makerere were already being discussed by the British House of Commons.
 
Jengo kuu na la kihistoria lenye kumbukumbu za wanafunzi,lililojengwa na Waingereza miaka ya 1940’s limewaka moto alfajiri ya leo. Makerere ni miongoni mwa vyuo vikuu bora Afrika kilichopika viongozi wengi kama Nyerere, Mkapa, Obote na Kibaki.

IMG_20200920_082341.jpg
dTii9fEvHUefuz6D.jpg

 
Kumbukumbu bado zopo ktk makablasha!! Serikali ya Uganda haina data za mtandaoni.
 
Ile masijala ta UDSM nayo ina makablasha ya kizamani, siji kama data zote wamezi upload.ARIS inawatambua wanachuo wa mwaka 90?
 
Very sad. That building brings back unforgetable memories every time I visited the University.
 
Back
Top Bottom