Jengo lililotelekezwa Mwenge Stand ya Zamani lingeweza kupunguza hadha ya wamachinga wanaotaabika

Jengo lililotelekezwa Mwenge Stand ya Zamani lingeweza kupunguza hadha ya wamachinga wanaotaabika

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF

Ukifika mwenge unaweza kustaajabu jengo lililokuwa linajengwa kwa kasi ya ajabu mwenge kutelekezwa baada ya kifo cha Hayati MAGUFURI huku wamachinga wakihaha kufukuzwa huku na kule, najiuliza hivi machinga wa kariakoo na karume ndio machinga mihimu tu, kwanini ndio wanaotoa jumuiko la viongozi?

Mji wa Mwenge, yaani kijiji cha mwenge kama kungepangwa vizuri unaweza ukatoka mji mzuri kwani kuna konnection za sehemu nyingi za usafiri wa magari.

Magari karibu ya sehemu zote yanafika pale. Juhudi za wafanyabiashara zimeanza baada ya kuanza kujenga majengo makubwa ya kibiashara lakini Mwenge inaghubikwa kuwa na ramani mbovu ambayo ingeendana na designed mzuri za miji tukiacha ikajengwa hovyo bila miundo mbinu mzuri tutakuwa tunatengeneza miji ya hovyo.
 
Jirani na jengo hilo kuna mjengo wa ghorofa unaomiliki wa na waziri mbarawa unaenda kwa kasi ya ajabu. Huu ndio ufisadi wa kimfumo, jengo la umma linakosa pesa kilikamilisha ila la mwanasiasa wa chama tawala linakamilika ndani ya mda mfupi
 
Jirani na jengo hilo kuna mjengo wa ghorofa unaomiliki wa na waziri mbarawa unaenda kwa kasi ya ajabu. Huu ndio ufisadi wa kimfumo, jengo la umma linakosa pesa kilikamilisha ila la mwanasiasa wa chama tawala linakamilika ndani ya mda mfupi
Aisee, naona jengo lina mbio hatari kumbe la kifisadi, au anawahi wateja
 
Tatizo ni jengo ?

 
Tatizo ni jengo ?

Sio jengo ni mfumo wa kutengeneza ajira mbovu
 
Sio jengo ni mfumo wa kutengeneza ajira mbovu
Naam, na sio kutengeneza ajira mbovu tu, bali hizo ajira ni non-existent; tunasahau kwamba bila disposable income na buying power kwa watu hata Tanzania nzima ikiwa kama Mayfair Street kama watu hawana nguvu ya kununua itabakia watu kufunga maduka na developers kushindwa ku-maintain hayo majengo
 
Manispaa ya Kino ilikuwa inajenga uwanja wa mpira/fremu kuuzinguka hapo Mwenge kati, sijui kama ulikamilika ule?
 
Back
Top Bottom