Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Jengo la biashara linalouza magodoro lililopo eneo la Mtaa wa Nyamwezi na Kipata katika Soko la Kimataifa la Kariakoo Jijini Dar es Salaam limeteketea kwa moto Jioni hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.
Soma Pia: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi
Soma Pia: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi