Jengo moja lateketea kwa moto Kariakoo

Jengo moja lateketea kwa moto Kariakoo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jengo la biashara linalouza magodoro lililopo eneo la Mtaa wa Nyamwezi na Kipata katika Soko la Kimataifa la Kariakoo Jijini Dar es Salaam limeteketea kwa moto Jioni hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.

Soma Pia: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi
 
Mafala wapo na ma photo tu ...BE ZE FIRST TO POST... WITHOUT ANY REFUND
 
Back
Top Bottom