Jenipha Kanumba anafaa sana kuja kuwa wife material

Kumbe huyo dogo keshakua mpaka anavaa sidiria au manyonyo ndo makubwa ? Sasa mwl unakuwa unatamani vibinti hivi wanafunzi wako watakuwa salama kweli ?
 
Mtemi nalim kisandu a.k.a mosqo naona unajaribu kufunguka ya moyoni kupitia mfumo wa kunena kwa lugha
 


Kichwa cha habari na uliyoandika ndani hayaendani ... ''Anafaa sana kuja kuwa'' na ndani umejaza uncertainity. Acha kuhusianisha sinema na maisha halisi, sinema ni matendo yaliyosimamiwa kutokana na uandishi mahiri wakati tabia ni kama ngozi huwa kuivua si kazi rahisi.

Mke ni hatua ya juu kabisa ya uvumilivu, heshima na kujitoa kwa ajili ya wengine kwa maisha yote na si rahisi kumjua the right candidate kwa kutegemea uhusika wa kwenye filamu
 
Ndugu yetu angekuwepo angeshalabua hapo..
 
HUYU BINT KWA KUMWANGALIA TU NI WAZ WAJANJA WASHAKULA KWA CHUMVI, SASA WANAKULA KWA MRIJA.

LABDA UPANDE WA PWANI
 
Jenifa kanumba huyo haya zawadi yangu utume mara 2 mana nakudai mbili sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…