Wanasiasa ahadi kibao utekelezaji FJenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha [emoji120]
Na perdiem zao zinatekelezwa haraka kuliko kitu chochoteMara nyingi kinachotekelezwa haraka sana kwenye bajeti mpya, ni ongezeko la kodi na tozo mpya zilizotambulishwa.
Ajira Portal mkuu ni janga la kitaifa. Uliza PURA watakuambia yaliyowakuta.Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha 🙏
maisha yamekua makali na machungu zaidi.kwasisi job seekerJenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha 🙏
Jenista Mhagama, kumbuka ahadi Yako ndani ya Bunge la bajeti la 2022-2023.
Kwamba serikali ya awamu ya sita, imeandaa fedha kwa ajili ya kuwafanyia interview waombaji Ajira kupitia, utumishi site or Ajira Portal.
Fedha hizo zitatumika, kuwafanyia interview waomba Ajira, katika mikoa yao waliotoka, ili kupunguza usumbufu wa watu kukusanyika katika jiji la Dodoma.
Nilikuwa na kukumbusha ndugu Waziri ahadi Yako.
Maana bado watu tunakusanyika Dodoma, na gharama za Maisha saaivi zimepanda mno.
Nawasilisha 🙏
Na perdiem zao zinatekelezwa haraka kuliko kitu chochote