JERIMY ALUMINUM

Modekai Myahudi

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
337
Reaction score
567
Habari ya muda huu wana jukwaa. Naitwa jimmy natokea kampuni ya JERIMY ALUMINIUM inayohusika na uuzaji wa chuma za aluminium aina zote na pia tunatengeneza aina zote za madirisha na milango ya aluminium, milango na madirisha ya PVC aina yote, stainless steel balcony pia tunafanya partition katika ofisi mbali mbali. Tunakufata popote site ilipo.. ofisi zetu zipo bunju A njia panda ya kwenda mabwepande
Waweza wasiliana nasi kupitia namba za simu 0714651164/0785496949/0742178811/0716040949
Pia email: jimmyscami@gmail.com au erickmelkiory17@gmail.com
Karibu saana tukuhudumie
 
Dirisha la 150*150 kama picha ya pili kutoka juu bei gani? Kwa Aluminium na PVC?
 
Dirisha la 150*150 kama picha ya pili kutoka juu bei gani? Kwa Aluminium na PVC?
Samahani kwa kuchelewa kukujibu boss lakini hakijaharibika kitu hilo dirisha ulilo liulizia linaitwa double glasses na kwa kutumia aluminum bei yake ni laki 6 na nusu ilabinapungua kutokana na una madirisha mangapi pia ni zuri kutokana na lina sifa ya sound proof pia kwa pvc bei yake ni laki 8 na nusu kwa dirisha moja mkuu karibu saana
 
Barcons bei gani kwa meter mkuu?
 
Sihitaji double glazing. Nahitaji la kawaida ila design hio. Aluminium bei gani na PVC bei gani?
 
Kwa lakawaida lakini draft ipo aina hii boss ambayo bei yake ni laki tatu na nusu
Sihitaji double glazing. Nahitaji la kawaida ila design hio. Aluminium bei gani na PVC bei gani?
 
Hapan bosi huo urembo upo kati ya vioo viwili ivo kwa dirisha la kawaida zipo urembo wa draft amabyo ni kama zile nimekutumia na zingine
Okay nimejifunza kitu. Kwani double glazing vioo vinagandishwa pamoja? Si vinaacha nafasi katikati inayo absorb kelele na baridi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…