Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Ametia aibu.My funs.
Huyu ndo alisema ana masters toka nchi 3.!!
?My funs.
Huyu ndo alisema ana masters toka nchi 3.!!
My funs! Huyu ndo yule anayeshadidia elimu ya majuu na kujitapa hajasoma vyuo vya Manzese.Ameandika haya instagram
Kila nikifikiria figisu za soka la Bongo aisee nachoka kabisa, let me walk away for a while though I will be missing my fans and my people wa kimataifa but I must walk away for a while,”
mwacheni ana masters degree toka marekani mwenzenu huyuFun. Fan.
Funny fans...hilo ndilo "soka la bonge"...
siyo fans kasema funsMsemaji wa club naye ana fans kumbe?
amenMkosi wa kumtukana yule binti mwandishi wa habari naona unamuandama. Alikua na kiburi sana tangu apate ile kazi. Let him go away forever.
Elimu ina umuhimu sana na sio elimu za kukaririAmeandika haya instagram
Kila nikifikiria figisu za soka la Bongo aisee nachoka kabisa, let me walk away for a while though I will be missing my fans and my people wa kimataifa but I must walk away for a while,”
I will be missing my funs and my people kahhhhh[emoji134],Ameandika haya instagram
Kila nikifikiria figisu za soka la Bongo aisee nachoka kabisa, let me walk away for a while though I will be missing my fans and my people wa kimataifa but I must walk away for a while,”