Jerry Muro amekubali yaishe, arejea mjini na kusema haya

Mtoto ni mtoto tu, hata siku moja hawezi kushindana na baba yake akashinda.
Hata kama baba kakosea inabidi mtoto aombe radhi yaishe, akijifanya nunda lazima yamkute kama ya Muro.
(Japo umeandika kinazi zaidi)
 
Polisi wslimkomesha, TFF wamemkomesha pia[emoji3][emoji16][emoji23][emoji2]
 
Ukiwaambia wachezaji wa SSC wachague nani wa kucheza naye kati ya Jerry Muro na Yanga SC... Bila shaka watachagua Yanga bila kujali kama watachezea kipigo.
Ila kwa Jerry Muro, mhhh ni moto wa kuotea mbali aisee
 
Acha Ushambenga Kijana wa Dar, umekaa kimajungumajungu. Fanya yako Achana na ya Yanga.
 

Hahahaha


Gentamycine kama Shigongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…