Kwani celebrity kwako ina maana gani? au unataka celebrity ni wawe watot wa kishua kama mimi ,tunao kutana kwenye maparty na kule clubs na kwasababu tunaendesha Vogue za baba zetu na tunajulikana kwnye hizo party ndio sisi ma celebrity? kama una maana hiyo na dhani ume kosea !
Au labda ujaribu ku google, au ni ku rahisishie
A
celebrity (or
celeb) is a person who is famously recognized in a society or culture.
Generally speaking, a celebrity is someone who gets media attention and most frequently has an
extroverted personality. A celebrity that shies away from the public eye or keeps a very separate private life is called a reluctant celebrity.