kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 938
Bonge moja la mwandishi kwaTz
Nadhani wakati ule wa kubambikizwa kesi ya Rushwa hawa jamaa walikuwa hawajagundua mbinu mbadala ya kunyamazisha watu, ila huyu nadhani ndio angekuwa wa awali kabisa kung'olewa meno na kucha bila ganzi!
Nadhani wakati ule wa kubambikizwa kesi ya Rushwa hawa jamaa walikuwa hawajagundua mbinu mbadala ya kunyamazisha watu, ila huyu nadhani ndio angekuwa wa awali kabisa kung'olewa meno na kucha bila ganzi!