Jerry Muro: Nipo tayari kurudi ITV hata usiku wa manane

ukoto

Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
20
Reaction score
3
Jamaa anasema alienda kusoma na alipirudi akakuta kibarua chake kimeota ngaro
Ila anakiri ITV ndio kituo bora cha TV Tanzania,Amesema wakimwita hata usiku wa manane yupo tayari kwenda kufanya kazi ni sehemu bora na kituo bora kabisa.
Majuto mjukuu!
 
Akaombe kazi tena
Jamaa akipewa kazi na vifaa mbona nchi itaenda vizuri
 
Ameshanusa huko alipo sasa hivi kuti kavu, mechi na mtani inakaribia na jamaa zake hawakawii kufukuza benchi la ufundi mpaka msemaji wa timu.
 
we endelea kupiga kelele za Yanga tu, huko kwingine ushachemka kitambo ulipoamua kuhamia TBC
 
Mwandishi pekee anayetafuta habari na pingu mkononi! Msanii na tapeli tuu huyo..ukitaka kujua jamaa ni tapeli msikilize kila siku kwenye vipindi vya michezo! Anataka kutisha kila mtu..ile kesi yake ya utapeli ilikuwa ya kweli sema aliungwa mkono tu kwa kuwa alikwaruzana na polisi ambao hawaaminiki tena tz
 

Mwanaume unaolewa na jimama halafu bado unaongea mbele za Mashabab. Aongee huko huko kwa wenzake wanaofanana naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…