Jerry Muro: Vyombo vya habari vimemuona Bashite tu vyeti feki? Zitto Kabwe hafai Urais TFF

leonaldo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
2,583
Reaction score
3,182
Adai kwanini vyombo vya habari Leo vinamuona Bashite tu kwenye ripoti ya vyeti feki na sio bilioni tano zilizookolewa kwa kuwafukuza watu 9930.

Adai pia vyombo vya habari Tanzania viko huru sana, tofauti na hivyo wasingeweza kumwandika bashite na wasifungiwe.

Kuhusu Zitto Kabwe, Jerry Muro amesema Zitto Kabwe hafai kuwa rais wa TFF kwasababu ni mbinafsi na mtu wa kimaslahi zaidi.

Sanjari na hilo Jerry amesema jimbo la Ubongo linaitaji kiongozi mwenye vision ili kutatua kero za wananchi.
 
Ati nn
 
Jinai Ya Bashite Ni Kubwa Sana Kuliko Anavyowatumia Hao Akina Murro
Halafu Huyo Jerry Eti Ana Masters Ndiyo Hadi Leo Hajitambui Kabisa


Duh Wasomi Punguzeni Njaa Nchi Inateketea Kwa Ujinga. Bashite Anatakiwa Kuwa Kisutu Court Kujibu Tuhuma Ambapo Pasipo Na Shaka Atafungwa
 
Kwa mahakama zipi? acha ale bata mjini.
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…