JERRY NA MANARA WATHIBITISHA SOKA SIO UADUI

Michezo yote si uadui ila ni utani na ushabiki tu. Jerry Muro alikuwa anajiona mno na kama si kibano cha TFF asingeweza kukutana na Hadji Manara. Ama kweli ajikwezae Mungu humteremsha.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kweli michezo sio uadui ila Jerry alikokuwa anatupeleka ni uadui badala ya utani.
 
Michezo yote si uadui ila ni utani na ushabiki tu. Jerry Muro alikuwa anajiona mno na kama si kibano cha TFF asingeweza kukutana na Hadji Manara. Ama kweli ajikwezae Mungu humteremsha.
Uadui mnapampiwa tu nyie mashabiki huko juu wenzenu wako sawa tu kila mtu anatetea ugali wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…