Magufuli hawezi kumkuta Kambarage hata roboAcheni kumlinganishwa Mwamba huyu wa SADEC Ndugu John Magufuli na vitu vya Hovyo hovyo .
Nmeanza kuamini huyu Jabali hata Kambarage anasubiri sema tu Kambarage hakutawala zama hizi za kila mtu kuwa Mchambuzi wa Siasa
Magufuli hawezi kumkuta Kambarage hata robo
[emoji23] [emoji23]Labda kama unaongelea kimo
Kungekuwa na kina kabendera wengi kuliko sasaAcheni kumlinganishwa Mwamba huyu wa SADEC Ndugu John Magufuli na vitu vya Hovyo hovyo .
Nmeanza kuamini huyu Jabali hata Kambarage anasubiri sema tu Kambarage hakutawala zama hizi za kila mtu kuwa Mchambuzi wa Siasa