Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe!

Aisee sasa chuwaalbert kila mtu akianza kukumbushia mabaya ya mwenzake nani atapona?

Kuna kisa flani kwenye msaafu wa Biblia pale yule mwanamke aliyekamatwa kwa uzinzi, kisha akapelekwa mbele ya *Emmanuel°° YESU ili atoe hukumu, unajua nini kilichofuata..?
 
Sina hamu na foleni za dar nikikumbuka asubuhi na jioni nahisi kutapika
 
Miaka 6 baadae
 
Naona kwenye jukwaa pendwa la siasa kuna new trend, nusu ya sred saa hii ni makaburi yanayofukuliwa kwa speed ya cheetah na mimi nasema hamna namna fukueni tu.
 
SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuamuru mabango yaondolewe barabarani, Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa amemtaka waziri huyo kuacha ubabe katika utekelezaji wa majukumu yake badala yake atumie vikao rasmi kutoa matamko yake


Ndiyo maana amedoda awamu hii
 
Watu wamesikia Uteuzi unamkaribia Jerry ndio wanafukua makaburi

Tuna roho mbaya Sana
Acha masikhara sheikh, Magufuli ana takwimu mpaka ya samaki bahari ya hindi tunao wangapi ndio sembuse orodha ya kuwasomesha namba awasahau?

Tena haka ka Jerry Silaa kana dharau, malingo na majivuno,:kachawi na kashirikina na wacha afunzwe adabu naye asikie uchungu.

Kwa style hii hapa ndio huwa namkubali sana Magufuli.
 
Kalitudharau sana wana Ukonga kipindi ni Kamea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…