Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe!

[emoji23][emoji23][emoji23] we mwenyewe mchawi unafurahia tabu za wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ngumu sana sasa aliyemkemea ni mwenyekiti wa chama aliko anajuta

Tuwe na akiba ya maneno
 
Unaambiwa kila aliyepishana naye kiswahili ni lazima auone moto , kama hukupewa kesi ya kutakatisha pesa mshukuru Mungu
 
Unayajua ya Mkuu na Tizeba ? tokea akiwa jiji ? na undugu wote lakini
 
nilijua ati kasema haya juzi jana ama leo weee !!!! angegeuka supu!!
 
Kweli Jammi Forum n source ya habari.
Sahz Jerry anaisoma number.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…