Kwa hiyo Kishalita ipo Kilimanjaro?Iramba magharibi waache kumpa mzawa wampe mchaga Jesca KISHOA yatakuwa maajabu ya dunia
viti maalumu alipewa tu sababu ya kabila yake sababu anatokea kilimanjaro anakotokea mwenyekiti wa chadema Mbowe wakaachwa wazawa
Wee jamaa ni mshamba sana !
Tusubiri tuone. Muda umebaki mfupi sanaUzuri Wa chadema muda wote wako na wananchi, ccm wao na mapolis
Iramba magharibi waache kumpa mzawa wampe mchaga Jesca KISHOA yatakuwa maajabu ya dunia
viti maalumu alipewa tu sababu ya kabila yake sababu anatokea kilimanjaro anakotokea mwenyekiti wa chadema Mbowe wakaachwa wazawa
mwaka huu kila diwani wa ccm atakuwa na police 3 wa kumlinda!!Uzuri Wa chadema muda wote wako na wananchi, ccm wao na mapolis
acha akili ya kisukuma wewe mlivyo na roho ya ukabilaIramba magharibi waache kumpa mzawa wampe mchaga Jesca KISHOA yatakuwa maajabu ya dunia
viti maalumu alipewa tu sababu ya kabila yake sababu anatokea kilimanjaro anakotokea mwenyekiti wa chadema Mbowe wakaachwa wazawa
ahahahahaaaaaaHuku walimbwende wanachukua fomu ili kuwatumikia wananchi, lakini kuna vidume vinauza majimbo, utu & heshima kumsifia shetani-mtu.
Joyce Mukya atawania jimbo gani? Mwaka huu mtapata majimbo machache sana. Yakizidi ni 3,viti maalumu vya kubeba nyumba ndogo itakuwa mbinde.
Upotoshaji wa kijinga, tulia tu cuz hujui unalosema. Sisi wanyiramba tunajuana.Iramba magharibi waache kumpa mzawa wampe mchaga Jesca KISHOA yatakuwa maajabu ya dunia
Viti maalumu alipewa tu sababu ya kabila yake sababu anatokea kilimanjaro anakotokea mwenyekiti wa chadema Mbowe wakaachwa wazawa
Inawezekana kweli huyu mama akasaidiwa kampeni na mumewe?
hamna kitu hapo..mwigulu ndiye mbunge wetuSafi sana kamanda, We shall overcome
Nabii Tito nae katangaza nia Kino kupitia CCMDr Shika naye ametangaza nia Kino CLAN via SISIEMU.
Acha kuwafananisha wasukuma na ushenziacha akili ya kisukuma wewe mlivyo na roho ya ukabila
Huyu Jamaa ana Watoto wanne na Mke!!Nabii Tito nae katangaza nia Kino kupitia CCMView attachment 1502052
Safi sana kamanda, We shall overcome
Vikwazo vya CCM na mawakala wakeMunta overcome nini!!.. Kwani lipi linajili?..