Elections 2010 Jeshi kumuaga rasmi JK

Jafar

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2006
Posts
1,136
Reaction score
54
Kuna tetesi kuwa JWTZ na vikosi vyake vinaandaa gwaride rasmi la kumuaga JK kwa kumaliza kipindi chake cha kwanza cha uraisi siku ya Jumamosi katika viwanja vya chuo cha Polisi temeke.

Wanafanya hivyo ili asiaibike kutoka Ikulu bila kuagwa.

Mwenye habari zaidi atujuze.
 
Wanafanya mazoezi ya siku yake ya kuapishwa kuiongoza tena Tanzania kwa kipindi cha pili 2010-2015....
Sawa Jafar?
Unataka kadi?
 
Wanafanya mazoezi ya siku yake ya kuapishwa kuiongoza tena Tanzania kwa kipindi cha pili 2010-2015....
Sawa Jafar?
Unataka kadi?

The proctologist called!...they found your head!
 
Hata JWTZ wanapoteza muda wao wa nini?
 
Hata polisi wamebaini kuwa hawataweza kusaidia chochote katika kumrudisha IKULU ya magogoni ndo maana wameona wamuage akapumzike ''IKULU'' ya familia yake Msata.tupa kule.
 

JWTZ kwenda viwanja vya chuo cha Polisi???? inaelekea wewe unawatania JWTZ
 
Hawa Wajeda mie na wasiwasi nao sana wana JF,

Kwanza kauli zao ni Tata kabisa tokea siku ile walipotangaza kuwa watu wayakubali matokeo. Na kama hamto yakubali na kushinikiza kuwa CCM imeshindwa basi wao ndio wataitawala nchi hilo ndio lengo lao. hiyo tungo tata la JWTZ nime kaaaaa kwa umakini na kuitafakari sana na kujua that is a plan B endapo CCM itapigwa mtama JWTZ will take over by any mean.
 
Itajulikana wanafanya mazoezi gani ifikapo 4 Nov 10.
 

Anafanya mazoezi ya kuapishwa baada ya kumaliza kazi hapo 31 oct na kupata ushindi wa kishindo wa per cent zaidi ya 80.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…