Salaam!!
Naomba kujulishwa kama kuna ulazima wowote wa form 6 waliomaliza mwaka huu kwenda jeshini kama walivyopangiwa. Je, ni lazima sana au mwanafunzi anaweza kuamua kutokwenda?? Na kama asipoenda huko jeshini, je atapata effect gani kutokana na hilo??
Ahsanteni
Dah.....