Jeshi la Ardhini la Israeli IDF limeshindwa kuwakomboa Mateka Rasmi

Jeshi la Ardhini la Israeli IDF limeshindwa kuwakomboa Mateka Rasmi

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Taarifa zilizopo Rasmi ni kuwa IDF imeviondoa vikosi vyake vya ardhini huko Gaza leo ikiwa ni miezi 6 tangu kuingia Gaza kwa lengo la kwenda kuwaokoa mateka wa kiyahudi waliotekwa Oktoba 7 2023.

Kwa mtazamo wa hara haraka lengo limeshindwa kufikiwa la kuwakomboa mateka na kuiangamiza Hamas. Je IDF watakuja na mbinu nyingine ya kupambana na Hamas kuwaokoa mateka hao? Tusubiri tuone.

Screenshot_20240407_153008_X.jpg
 
IDF jeshi bora duniani na MOSAD ndio taasisi bora kabisa ya ushushushu,wamemaliza kazi wanaondoka,ulitaka wabaki kufanya nini?.
 
Taarifa zilizopo Rasmi ni kuwa IDF imeviondoa vikosi vyake vya ardhini huko Gaza leo ikiwa ni miezi 6 tangu kuingia Gaza kwa lengo la kwenda kuwaokoa mateka wa kiyahudi waliotekwa Oktoba 7 2023.

Kwa mtazamo wa hara haraka lengo limeshindwa kufikiwa la kuwakomboa mateka na kuiangamiza Hamas. Je IDF watakuja na mbinu nyingine ya kupambana na Hamas kuwaokoa mateka hao? Tusubiri tuone.

View attachment 2956531
Hii dini ya Waarabu ni ushetani mtupu
 
Acha
Hamasi wenyewe hawakai Gaza wapo nchi jirani wakila bata wakati ardhi yao ikigeuzwa kifusi.
Acheni propoganda nchi zote za jirani zinamsaidia Israel, wacha hio tu hata Google kumbe inawasaidia Israel kuwapa infomation, na yote hayo kashindwa kukomboa hata mateka mmoja ni aibu aisay.

Tuliwambia huyo Israel, hawawezi Hamasi anacho jua ni kuwauwa civilian tu, haswa vitoto na wanawake eti super power.

Kusaidiwa kote huko na US. Pamoja na Europe nzima na bado kawashindwa Hamas 😄
 
Kikubwa kilichowapeleka huko ni kwenda kukomboa mateka lakini wameshindwa sasa hapo wamekamilisha nini!
Acheni Uzushi enyi wafuasi wa Mwamedi...IDF wanatoka huko kwa kufuata maagizo ya Gutteres, Katibu Mkuu wa UN aliyewaambia waondoke na waruhusu vyakula vipelekwe Gaza

Mengine ni Uzushi tu na Umbea
 

Attachments

  • Screenshot_20240407_210215_Chrome.jpg
    Screenshot_20240407_210215_Chrome.jpg
    243.1 KB · Views: 2
Acheni Uzushi enyi wafuasi wa Mwamedi...IDF wanatoka huko kwa kufuata maagizo ya Gutteres, Katibu Mkuu wa UN aliyewaambia waondoke na waruhusu vyakula vipelekwe Gaza

Mengine ni Uzushi tu na Umbea
Hii haiwezi kua sababu kuu ya Israel ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza Israel anakiburi na amri kama hizo kesha ambiwa mara nyingi kazipuuzia

Israel saizi ana mfupa mgumu wa kuutafuna (Iran with his proxies) ambao obviously anaitaji Askari wengi kwa utayari wa vita inayo tazamiwa kutokea hii sasa sio kama ya Gaza unapigana na mtu hana hata kifaru kimoja

Ni lazma kutoa battalion Gaza strip kujiandaa na death shadow inayokuja
 
Hii haiwezi kua sababu kuu ya Israel ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza Israel anakiburi na amri kama hizo kesha ambiwa mara nyingi kazipuuzia

Israel saizi ana mfupa mgumu wa kuutafuna (Iran with his proxies) ambao obviously anaitaji Askari wengi kwa utayari wa vita inayo tazamiwa kutokea hii sasa sio kama ya Gaza unapigana na mtu hana hata kifaru kimoja

Ni lazma kutoa battalion Gaza strip kujiandaa na death shadow inayokuja
Najua kuwa hapa DUNIANI hakuna jamii yenye msimamo na kiburi kama Israel na Wasomali, this is their nature

Ila kwa hili la UN ni kwamba wangegoma jeshi la UN lingewaondoa na pia wangekosa kiti UN ambapo ingekuja kuwacost sana baadae kidiplomasia
 
Taarifa zilizopo Rasmi ni kuwa IDF imeviondoa vikosi vyake vya ardhini huko Gaza leo ikiwa ni miezi 6 tangu kuingia Gaza kwa lengo la kwenda kuwaokoa mateka wa kiyahudi waliotekwa Oktoba 7 2023.

Kwa mtazamo wa hara haraka lengo limeshindwa kufikiwa la kuwakomboa mateka na kuiangamiza Hamas. Je IDF watakuja na mbinu nyingine ya kupambana na Hamas kuwaokoa mateka hao? Tusubiri tuone.

View attachment 2956531
Wapewe Pole magaidi wa Israel.
 
Back
Top Bottom