Jeshi la Israel lapata hasara kubwa baada kujaribu kuvuka mpaka wa Lebanon. Ambalensi na helkopta zimejazana mpkani kurudisha maiti na majeruhi

Jeshi la Israel lapata hasara kubwa baada kujaribu kuvuka mpaka wa Lebanon. Ambalensi na helkopta zimejazana mpkani kurudisha maiti na majeruhi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo juzi jeshi la Israel lililposema limevuka mpaka wanamgambo wa Hizbullah walikanusha kuona askari hao wakibuka mpaka. Ilionekana ilikuwa ni taarifa za kupima kina cha bahari tu.

Leo ndio kwa mara ya mwanzo jeshi hilo limetia mguu na ripoti zinasema jeshi la IDF limepata hasara kubwa kwani magari ya ambalensi na helkopta vimeonekana vikiwa na harakati kubwa ya ingia toka kutoka ndani ya mpaka wa Lebanon

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa wapasha habari wa Aljazeera ambao hata hivyo wanaripoti kutoka mbali kwani jeshi la IDF limekuwa likiwazuia Aljazeera kufanya kazi karibu nao.

Israeli forces appear to suffer casualties in first close combat with Hezbollah

 
Hapo juzi jeshi la Israel lililposema limevuka mpaka wanamgambo wa Hizbullah walikanusha kuona askari hao wakibuka mpaka. Ilionekana ilikuwa ni taarifa za kupima kina cha bahari tu.

Leo ndio kwa mara ya mwanzo jeshi hilo limetia mguu na ripoti zinasema jeshi la IDF limepata hasara kubwa kwani magari ya ambalensi na helkopta vimeonekana vikiwa na harakati kubwa ya ingia toka kutoka ndani ya mpaka wa Lebanon

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa wapasha habari wa Aljazeera ambao hata hivyo wanaripoti kutoka mbali kwani jeshi la IDF limekuwa likiwazuia Aljazeera kufanya kazi karibu nao.

Israeli forces appear to suffer casualties in first close combat with Hezbollah

Watampiga pabaya sana. sasaivi nimeona wamepoint maeneo muhimu kama kile kisiwa chao kinachozalisha mafuta 99% ya Iran, Kituo cha kuzalisha umeme, Nuclear cites wanakojaribu kutengeneza bomb, na radar zao, na kuua viongozi wa Iran, ayatola sasaivi hatoki nje ya handaki kabisa.

Nijuacho, kwenye suala la mafuta, Marekani atafanya juu chini kuishawishi Israel wasipige kisiwa cha mafuta kwa sababu wanaona itavuruga uchumi wa dunia sana, ila cite ya nuke enrichment watapiga, na vituo vya umeme unaotegemewa. kuna uwezekano vita ikawa kubwa sana.

Iran anaogopa sana hii vita kwasababu anajua Marekani tayari alishajiandaa na yupo karibu na alimwahidi kwamba sifanye alichofanya jana. Iran ambao ni shia, wanajua hawana mtetezi, wapo peke yao. Russia atawaambia yupo nao ila huwa anaongea maneno tu hatoagi msaada (angalia syria aliwaahidi ila sasaivi ni failed state), china huwa anaongea tu ila hawezi kumsaidia kivita iran, North Korea hana uwezo kumsaidia. nchi zingine zote za kiislam haziwezi kumsaidia Iran kwa sababu ni adui yao kidini na Iran huwa anawatishia. wasuni wengi wanapenda iran apigwe.

why nasema anaogopa? utasikia jana, baada ya kupiga, amesema "nimeshapiga na sina mpango kuendelea kupiga" manake anaonyesha ulimwengu kwamba ameshajirudishia ila hana mpango wa kuendelea na vita, anataka kusema kwa sababu amejirudishia Israel nayo itulie isilipize. Ukweli ni kwamba Marekani, Israel, UK, france na magharibi wana uwezo mkubwa sana kumpiga Iran wapendavyo, na sasaivi inaweza kutokea.
 
Nikikumbuka vita ya siku 6 na propaganda za waarabu na walichokipata. Naona warabu wa buza bado mko mbali sana kwenye propaganda za kivita
 
Hata askari mmoja akibebwa kwenye ambulance wanaitwa askari 200 helkopta ikibeba majeruhi 5 kuwawahisha hosptali wanakuwa askari 500 kumbe hata watoa taarifa wenyewe taarifa zao ni za kupiga ramli kwa kuwa hawako eneo husika.
 
Hapo juzi jeshi la Israel lililposema limevuka mpaka wanamgambo wa Hizbullah walikanusha kuona askari hao wakibuka mpaka. Ilionekana ilikuwa ni taarifa za kupima kina cha bahari tu.

Leo ndio kwa mara ya mwanzo jeshi hilo limetia mguu na ripoti zinasema jeshi la IDF limepata hasara kubwa kwani magari ya ambalensi na helkopta vimeonekana vikiwa na harakati kubwa ya ingia toka kutoka ndani ya mpaka wa Lebanon

Taarifa hizo ni kwa mujibu wa wapasha habari wa Aljazeera ambao hata hivyo wanaripoti kutoka mbali kwani jeshi la IDF limekuwa likiwazuia Aljazeera kufanya kazi karibu nao.

Israeli forces appear to suffer casualties in first close combat with Hezbollah

Unakimbia Nini ambalansi ndo Nini?
 
Screenshot_20240817-202830~2.png
 
Waambieni warushe aya makopokopo yao Iran muone yatavodakwa wanaangaika Syria Lebanon wkt Iran wanaijua ilipo sababu washapata sasa tunawaomba uwanjani Israel n babake USa n UK wote kwapamoja Iran anawajua vizuli akili zao wamewaandalia mauwa ya kutosha aina y Ross 😳😳😳😳😳
 
Hata askari mmoja akibebwa kwenye ambulance wanaitwa askari 200 helkopta ikibeba majeruhi 5 kuwawahisha hosptali wanakuwa askari 500 kumbe hata watoa taarifa wenyewe taarifa zao ni za kupiga ramli kwa kuwa hawako eneo husika.
IDF imeomba raia wachangie damu group o,jiulize kwa nini?
 
Manyani ya afrika yanafurahisha mno yaani mtu anacoment bila kuwa na taarifa sahihi juu ya mashariki ya kati. Israeli sio wakristo ni WAYAHUDI(JEWS) Lebanon kuna wakristo wengi kuliko hata waislam ila bogus kutoka afrika waliokaririsha juu ya unabii feki wajiona na kuwaona waisraeli ni wakristo.
 
Nimeona aljazeera wamesema hizo helicopter zinabeba majerui na sio askari waliokufa tuache kuongeza chumvi askari wa Israel hawajafa
 
Watampiga pabaya sana. sasaivi nimeona wamepoint maeneo muhimu kama kile kisiwa chao kinachozalisha mafuta 99% ya Iran, Kituo cha kuzalisha umeme, Nuclear cites wanakojaribu kutengeneza bomb, na radar zao, na kuua viongozi wa Iran, ayatola sasaivi hatoki nje ya handaki kabisa.

Nijuacho, kwenye suala la mafuta, Marekani atafanya juu chini kuishawishi Israel wasipige kisiwa cha mafuta kwa sababu wanaona itavuruga uchumi wa dunia sana, ila cite ya nuke enrichment watapiga, na vituo vya umeme unaotegemewa. kuna uwezekano vita ikawa kubwa sana.

Iran anaogopa sana hii vita kwasababu anajua Marekani tayari alishajiandaa na yupo karibu na alimwahidi kwamba sifanye alichofanya jana. Iran ambao ni shia, wanajua hawana mtetezi, wapo peke yao. Russia atawaambia yupo nao ila huwa anaongea maneno tu hatoagi msaada (angalia syria aliwaahidi ila sasaivi ni failed state), china huwa anaongea tu ila hawezi kumsaidia kivita iran, North Korea hana uwezo kumsaidia. nchi zingine zote za kiislam haziwezi kumsaidia Iran kwa sababu ni adui yao kidini na Iran huwa anawatishia. wasuni wengi wanapenda iran apigwe.

why nasema anaogopa? utasikia jana, baada ya kupiga, amesema "nimeshapiga na sina mpango kuendelea kupiga" manake anaonyesha ulimwengu kwamba ameshajirudishia ila hana mpango wa kuendelea na vita, anataka kusema kwa sababu amejirudishia Israel nayo itulie isilipize. Ukweli ni kwamba Marekani, Israel, UK, france na magharibi wana uwezo mkubwa sana kumpiga Iran wapendavyo, na sasaivi inaweza kutokea.
We dogo hizo akili zako zinautitiri Israel hi ilio chapwa jana ikaguse Iran subutu.
 
We dogo hizo akili zako zinautitiri Israel hi ilio chapwa jana ikaguse Iran subutu.
ndio US na IDF wamejiandaa kwa hilo. kama ulisikia hata taarifa ya white house jana, walisema lazima retaliation itakuwepo. though iran yenyewe kwasababu inajua wakipigana wao ndio wataathirika zaidi imetoa taarifa kwamba sisi tumeshapiga basi na tumenyamaza hatupigi tena, ila tukichokozwa ndio tutapiga tena. meaning, wanaogopa kupigwa na wanajaribu kutishia ili israel asipige.

kwa bahati mbaya, israel wameshaona iran ikiendelea kuexist na nguvu hii, kuna siku zile roketi zitakuwa sio mabom ya kawaida, itakuwa nuclear na israel yote itafutika, kuliko kufutika kuna kitu kibaya sana kipo mbele ya Iran, na yeye mwenyewe anakijua. there will be no israel if iran maitain this power.
 
IDF limepata hasara kubwa kwani magari ya ambalensi na helkopta vimeonekana vikiwa na harakati kubwa ya ingia toka kutoka ndani ya mpaka wa Lebanon
Source madrasa albadiri
 
Back
Top Bottom