Wale wanajitambua sio wa kupelekeshwa vitu vingine ni busara tu kwani akiapishwa anakunyimia nn usingizi,mwache aapishwe ikulu nyumbani kwake,kule hata maandamano anamaneni na ulinzi mtapewa,mkichoka mrudi home mkalale.Dunia ilitarajia leo yangetokea machafuko wakati Odinga akijiapiza kuwa raisi wa watu wa kenya.ilitarajiwa police wa kenya wangezuia na kusababisha umwagikaji wa damu hasa kutokana na umati mkubwa wa watu uliokuwa ukitarajiwa.
Nampongeza Kenyatta kwa kuamua kutulia na kumuacha Odinga afanye alichokusudia bila ya kubugudhiwa na police, hii imeepusha sana umwagikaji wa damu .
Hongereni askali police wa KENYA.
Angekua tahira wetu wangekoma
Kilichonifurahisha baada ya kuona odinga anajiapisha akakimbia Ethiopia kurudi nyumbani kuhofia odinga asije akaenda ikulu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unajua wakenya ni watu jasiri sana , na kizuri wamempata raisi mwenye akili sana kenyatta ana akili sana na kupenda kushauriwa ndio kunamfanya awe bora zaidi
Na hiyo ndio faida ya kuwa karibu na viongozi wenye akili duniani ni lazima na ww utakuwa msataharabu tu, katumia akili sana kuzuia kumwagika damu
Mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale kuwa yeye ndiye raisi halali wa kenya
Jamaa wetu hajiamini, ni muoga anahisi kuondolewa Kila saaWatu wengi wangetiwa vilema na hata kupoteza uhai wao.