Jeshi la Madagascar lavamia hoteli wanayokaa Taifa Stars kwa madai ya kutaka kuwaondoa wachezaji wenye maambukizi ya Corona

Covidol haijawasaidia?
 
Mnataka kupeleka variants zenu kila sehemu..
Na huko si ndio yule mfu alishadadia ile juisi ya kovid lakini Raisi wao akamkaushia baada ya kuonywa na mabeberu
Na wawekwe karantini tu ili tuwe na kisingizio cha kufungwa...
 
Mnataka kupeleka variants zenu kila sehemu..
Na huko si ndio yule mfu alishadadia ile juisi ya kovid lakini Raisi wao akamkaushia baada ya kuonywa na mabeberu
Na wawekwe karantini tu ili tuwe na kisingizio cha kufungwa...
Wewe mfu mbona unaropoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…