Jeshi la NATO kuanza mazoezi makali ya kihistoria

Jeshi la NATO kuanza mazoezi makali ya kihistoria

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Mazoezi makubwa zaidi katika historia ya ya Baltics ya Muungano wa kijeshi wa Nato yanaanza baadaye hii leo. Mazungumzo hayo yamepewa jina la siri la Hedgehog.

Mzoezi hayo yatafanyika katika taifa la Estonia kwa kipindi cha wiki mbili zijazo na yatawahusisha wanajeshi 15,000 kutoka nchi kumi, zikiwemo Uingereza, Marekani na wajumbe wa hivi karibuni kabisa wa Muungano wa Nato - Finland na Sweden.

Licha ya kwamba mazoezi hayo yalikuwa yamepangwa hata kabla ya Urusi kuanza uvamizi wake nchini Ukraine, mazoezi haya sasa yameibua kwa kiasi kikubwa wasi wasi baina ya Nato na Urusi.

Katika dhana ya uvamizi wa Warusi, mazoezi haya ni muhimu sana kwa mataifa ya Baltic, kwani lengo lake ni kufanya majaribio ya uwezo wao katika kujibu uvamizi sawa wa maadui.
Mambo ndio yanaaanzaaaa sasa

Chanzo .BBC Swahili today
 
Ni mazoezi au ni mazungumzo ?.Papo hapo umekwenda mbali sana kwani Finland na Sweden si wanachama wa NATO.Ndio kwanza wamepanga kupeleka maombi na yakifika kuna wajumbe wa NATO watawapinga kukubaliwa,
 
Usitishwe na mazoezi ya aina hiyo.Hao ni woga kama fisi na hakuna watu wenye moyo wa kupigana.Mataifa yote hayo majeshi yao hayapati kruti wapya kutokana na uchache wa vijana.Kila mwenye mtoto wake hataki akafe vitani.
 
Chezea kichapo ww[emoji1787][emoji1787][emoji16], watajua hawajui

20220516_091634.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji116][emoji116]

[emoji91][emoji91][emoji91]The city of New York is under the control of the allied troops urraaaaa[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hahaha kwa kufanya mazoezi NATO ndio wenyewe,walianza kufanya mazoezi kabla ya Ukraine haijavamiwa na Sasa Ukraine inapewa kichapo bado wanafanya mazoezi tu.

Hao Ni watu wa mazoezi tu.
 
Hahaha kwa kufanya mazoezi NATO ndio wenyewe,walianza kufanya mazoezi kabla ya Ukraine haijavamiwa na Sasa Ukraine inapewa kichapo bado wanafanya mazoezi tu.

Hao Ni watu wa mazoezi tu.
Bangi kutoka milima Usambaa ni mbaya sana.
 
Mazoezi makubwa zaidi katika historia ya ya Baltics ya Muungano wa kijeshi wa Nato yanaanza baadaye hii leo. Mazungumzo hayo yamepewa jina la siri la Hedgehog.

Mzoezi hayo yatafanyika katika taifa la Estonia kwa kipindi cha wiki mbili zijazo na yatawahusisha wanajeshi 15,000 kutoka nchi kumi, zikiwemo Uingereza, Marekani na wajumbe wa hivi karibuni kabisa wa Muungano wa Nato - Finland na Sweden.

Licha ya kwamba mazoezi hayo yalikuwa yamepangwa hata kabla ya Urusi kuanza uvamizi wake nchini Ukraine, mazoezi haya sasa yameibua kwa kiasi kikubwa wasi wasi baina ya Nato na Urusi.

Katika dhana ya uvamizi wa Warusi, mazoezi haya ni muhimu sana kwa mataifa ya Baltic, kwani lengo lake ni kufanya majaribio ya uwezo wao katika kujibu uvamizi sawa wa maadui.
Mambo ndio yanaaanzaaaa sasa

Chanzo .BBC Swahili today
Safi kabisa Wakamchape na kumuua kabisa takataka Putin
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji116][emoji116]

[emoji91][emoji91][emoji91]The city of New York is under the control of the allied troops urraaaaa[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji91][emoji91][emoji91]
Cha kuchekesha budget ya nchi yako ipo supported na USA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mazoezi makubwa zaidi katika historia ya ya Baltics ya Muungano wa kijeshi wa Nato yanaanza baadaye hii leo. Mazungumzo hayo yamepewa jina la siri la Hedgehog.

Mzoezi hayo yatafanyika katika taifa la Estonia kwa kipindi cha wiki mbili zijazo na yatawahusisha wanajeshi 15,000 kutoka nchi kumi, zikiwemo Uingereza, Marekani na wajumbe wa hivi karibuni kabisa wa Muungano wa Nato - Finland na Sweden.

Licha ya kwamba mazoezi hayo yalikuwa yamepangwa hata kabla ya Urusi kuanza uvamizi wake nchini Ukraine, mazoezi haya sasa yameibua kwa kiasi kikubwa wasi wasi baina ya Nato na Urusi.

Katika dhana ya uvamizi wa Warusi, mazoezi haya ni muhimu sana kwa mataifa ya Baltic, kwani lengo lake ni kufanya majaribio ya uwezo wao katika kujibu uvamizi sawa wa maadui.
Mambo ndio yanaaanzaaaa sasa

Chanzo .BBC Swahili today
Duh unachekesha et ya kihistoria hiyo wanafanyia Mars na Aliens au ni walewale wazungu pori
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji116][emoji116]

[emoji91][emoji91][emoji91]The city of New York is under the control of the allied troops urraaaaa[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii itakuwa New York ya Kigamboni
 
Back
Top Bottom