Jeshi la Polisi Kenya ni majanga na uhuni mtupu!!!

Jeshi la Polisi Kenya ni majanga na uhuni mtupu!!!

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,253
A Kenyan anti-riot policeman wrestles with an opposition supporter during post-election demonstrations in Nairobi's Mathare slum.


police-stamp_kenya.jpg

 
hiyo ya mbwa duh huyo mtoto atakuwa alilia sana
 
Kumbe Kenyatta naye ni dikteta, anawezaje kuruhusu mauaji kama haya
 
natamni kukutana na huyo askari anetishia mbwa watoto mi na yeye tu...peke yetu...eneo lisilo na watu kabisa au wachache!!

ningewalipia hao watoto hofu na kunyanyasika walikopitia that day....na nyongeza!1....////"'!##$%^&* zake!!
 
Kahhhhh ku******@ aiseh ndio pah nakutana na mmoja uso kwa uso tupo wawili lazima mmoja aage dunia kwa hali na mali
 
Nowaona pia kama wanajeshi vile, ila ni vema tukubali kuwa mara nyingi demokrasia ya vi nchi vyetu inabakwa sana na wendawazimu hasa wanasiasa wapendao madaraka;Mungu tuepushie mbali haya majanga.
 
Kumbe Kenyatta naye ni dikteta, anawezaje kuruhusu mauaji kama haya

Baadhi ya hizi picha ni za wakati wa fujo za baada ya kura 2007/2008, ila polisi wa hapa kwetu Kenya washenzi sana.
 
Back
Top Bottom