Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini kuficha nyuso zao kama tayari mmewaandika majina?
Hapo ndio utajua polisi hawana amili kabisa; na ziba mtu uso alafu u ataja majina yake kamili 😂😂Kwanini kuficha nyuso zao kama tayari mmewaandika majina?
Hao makahaba walikuwa wanafanya ukahaba na upepo?
Aiseee, hawa jamaa hawa 🤣🤣🤣Hapo ndio utajua polisi hawana amili kabisa; na ziba mtu uso alafu u ataja majina yake kamili 😂😂
Hao makahaba walikuwa wanafanya ukahaba na upepo?