Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,154 Reaction score 7,083 Dec 21, 2022 #21 Bora tumejua kuwa wengi ni Wahaya.
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 Dec 21, 2022 #22 vipi, na wale wa 'ntumie 2k nna njaa'
dimaa JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 4,174 Reaction score 5,658 Dec 21, 2022 #23 Mbona ni makosa ya siku nyingi sana
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 6,581 Reaction score 11,572 Dec 21, 2022 #24 JamiiForums & Content huyu NetMaster anaendeleza udhalilishaji pale PT walipoishia. Lindeni jukwaa.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Dec 21, 2022 #26 NetMaster said: Kama unawahitaji wamejaa tele pale uwanja wa fisi Click to expand... Siwahitaji, bali napendekeza waweke namba zao za simu ili tuwapigie tuwagombeze na kuwakanya.
NetMaster said: Kama unawahitaji wamejaa tele pale uwanja wa fisi Click to expand... Siwahitaji, bali napendekeza waweke namba zao za simu ili tuwapigie tuwagombeze na kuwakanya.
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Dec 21, 2022 #27 Aiseee Wahaya......🙁
SPACE CADET JF-Expert Member Joined Dec 15, 2022 Posts 2,280 Reaction score 3,555 Dec 21, 2022 #28 Daudi Mchambuzi said: Basi waweke na namba zao za simu. Click to expand... Haa
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Dec 21, 2022 #29 Wamevunjiwa haki zao za msingi za kikatiba za kuchukuliwa kuwa hawana hatia mpaka mahakama itakapowapata na hatia.
Wamevunjiwa haki zao za msingi za kikatiba za kuchukuliwa kuwa hawana hatia mpaka mahakama itakapowapata na hatia.
Pilot_In_Command JF-Expert Member Joined Nov 10, 2013 Posts 2,507 Reaction score 3,442 Dec 21, 2022 #30 Mikono yao hao MALAYA inaonesha kbs bei zao ni elf 2 au buku
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Dec 21, 2022 #31 Kwenye hizo picha Wahaya naona wameupiga mwingi[emoji4]
Agentcode92 Member Joined Feb 11, 2018 Posts 41 Reaction score 55 Dec 21, 2022 #32 Wanashindwa kukamata wezi wa mali za uma, wanawaangalia tu wanavyolamba asali wanahangaika na wajasiliamali wa mwili...!
Wanashindwa kukamata wezi wa mali za uma, wanawaangalia tu wanavyolamba asali wanahangaika na wajasiliamali wa mwili...!
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Dec 21, 2022 #33 WAHAYA wamechukua kombe....mluguru nae wenzie wanatuuzia njegere huku mtaani😁
luambo makiadi JF-Expert Member Joined Nov 28, 2017 Posts 10,602 Reaction score 8,798 Dec 23, 2022 #34 Dada zake kina instanbul The Great Haya @come77 sundoka mliberali Windhoek @
luambo makiadi JF-Expert Member Joined Nov 28, 2017 Posts 10,602 Reaction score 8,798 Dec 23, 2022 #35 Jack Daniel said: Wahaya wamevuliwa nguo. Click to expand... ATI wanajitia wamesoma