Elections 2010 Jeshi la polisi latoa onyo kupitia Clouds FM

Kwani TBC haipo ? au ndo kujipendekeza,kura zihesabiwe upyaaaaaa basi tupate ukweli nani kashinda kihalali
 
watu wanapewa pesa ili waandamane??
Waandamane kwa sababu zipi?
Polisi ingesolve kwanza chanzo cha hayo maandamano.
 


Wambaje?

Wewe ni mzanzibar muunguja au mpemba? acha zuga hakuna kizanzibari kinachoongewa hivyo mie nimekaa na kutembea zanzibar karibia yote sijasikia hayo maneno yenye rangi nyekundu.
 
Kwani TBC haipo ? au ndo kujipendekeza,kura zihesabiwe upyaaaaaa basi tupate ukweli nani kashinda kihalali


TBC1 ilikuwa ya kwanza kutangaza na Kova alikuwa live.
 
hehe.. sio kwamba jeshi limepeleka tangazo clouds...!! clouds ndio wamewatafuta ili kujuwa msimamo wa jeshi kutokana na kauli ya kichochezi ya mzee slaa
 
Sina imani na Polisi kwani walianza kutisha toka zamani kwa nia ya kulinda wizi wa kura unaofanywa na CCM.
 
acheni woga jamain huwezi kudai haki ukiwa ofisini. bahati nzuri hawa askari tunakaa nao mtaani, tutaanzia huko huko.
 
Hakuna haja ya Kova kubwabwaja -- yeye atume vikosi vyake akawakamate wale waandaaji wa fujo hizo anazosema. Hawa polisi hovyo kweli kweli, wanapenda tu kutoa vitisho kwa amri ya akina Makamba na Rostam, basi.
 
TBC Pia Kova katoa onyo kuwa watu wasihamasike kuandamana!
 
Pumbavu kabisa hao polisi wenyewe wamepigika kinoma na life, wao ni kuburuzwa. kwanza kwanini wapeleke tangazo couds??? jinga kabisa!!!!!
 

Wanafikiri wanavyofanya wao ndio na wengine. Vurugu hizi ni uchungu wa kura ya mtu kuchezewa. Ni njia ya kutaka kuwakamata viongozi wa Chadema. Hivi CUF hawana maumivu haya?
 
Hakuna uhakika wowote kuwa anayeandaa ama kuhamasisha maandamano kama ni Dr.SLAA/Viongozi wa CHADEMA.
Hizi zaweza kuwa ni hujuma... Angalieni msije muitikia msie mjua.
Kama ingekuwa ni Uongozi wa CHADEMA wasingekuwa na sababu yeyote yakufanya mambo kinyemela/kimya kimya..
Wangetoa sababu za MSINGI za kuandamana na kutumia vyombo vya habari vilivyo huru ingawa viko adimu sana.
Jamani muwe na composure...mambo mazuri hayataki haraka.Msifanye mambo kwa msisimko.
Subirini tangazo na msimamo wa viongozi wenu.
Jiepusheni na roho mbaya ya uasi....
Mungu Ibariki Tanzania.
 

hawa polisi sijui wanatumia utashi gani!!!
Hawaoni njaa na shida wanazopata kwa ajili ya hawa mafisadi waliopo madarakani?
 
rube mtahaba anataka kugombea ubunge kwao ndo mana si unajua ccm kwa kulipa fadhila za mafisadi
 
acha njaa dogo we huoni haya ccm ni wazee na vijana wachache wasiosoma alama za nyakati
 

Huu uongo tu, gud tym
 

ina maana jeshi limeona the right place ya tangazo lao ni clouds..ok hiyo sio issue, kipindi cha dina marios..Mungu wangu jeshi letu..wasitishe watu, kama watu wanadai haki zao fujo itatokea wapi?? wamezoea kuita mikusanyiko fujo hata kama watu wamekusanyika na kukaa kimya..hiyo ni mbinu ya kutisha watu tuu..wangekuwa iraq au afganstan wangejua nn maana ya fujo..hapa bongo watu wanaandamana tu na hakuna fujo..
 
Clouds fm? Wanaumwa! Katiba ya jamhuri inaniruhusu ku assemble,ku express idea na freedom of movement wapo hapo? Ijue katiba,watawala acha kuropoka,tena kwenye redio za mafisadi!
 
hehehehe hehehehe hehehehe
NGUVU ya UMMA haizuiwi kwa risas.
wajenge jela mpya za kuweka watu maana zilizopo hazitztosha
Jela watakwenda wao akina Kova. Athubutu kuua hata mmoja atakuwa kawasha moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…