CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Niondolee huu upuuzi wako. Mumefanya kitu cha aibu hakuna jinsi unaweza ku justify upuuzi uliofanyika. Just shut up.Press ngap zimefanyika zikazuiliwa?
Makamanda uchwara ni kama wamepungua siku hizi hapa JF baada ya uchaguzi huko chamani.Press ngap zimefanyika zikazuiliwa?
Tahila kweli kwani wageni wakija kwenye nchi kila kitu kinasima ma ili kupokea wageni? Basi kama ni hivyo wangetangaza hali ya hatari ili kila mtu asitoke nje ili wageni wajuwe Samia na kina chalamila ndio wanao ishi Tanzania peke yao! Au ni sheria ipi inakataza kwamba wageni wakija hakuna press conference za vyama vya upizani? Hii nchi ina matahila wa kutosha kwelikweli.YAANI CHADEMA KUACHA UJI NI KAZI SANA LABDA HUO UJIN UANZE KUWAOMBA HELA, HIVI KWELI UNAONA KABISA KUNA UGENI WA KITAIFA MNAFANYA PRESS YA NINI MNASHINDWA KUVUMILIA SIKU MBILI NDIYO MUANZE HUO UJI WENU? HAMNA ADABU KABISA
Maana yke ni kwamba, jj lita simama siku patakapokua na mikutano 2-3 ya aina hiyo-yaani kukiwa na mktno zaidi, hatuna uwezo wa kuisimamia kiusalama- miaka 60+ ya uhuru pamoja na kutamba kote kuh. maendleo hatuwezi kuhakksha usalama wa wageni ...nk. patheticJeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Kijana wa MboweKuwa na adabu huwezi niita Mimi kijana wa Mbowe wewe kauzu…. Nipo hapa nimechagua upande wa kukosoa na nitamkosoa huyo mropokaji na nyie mashabiki zake…. Haya Leo Polisi wamezuia mkutano mmefanya nini? Si mlisema Mbowe mpole na Lissu atafanya siasa Za mshike mshike kiko wapi?? Very soon atakimbiza tumbo lake Ubelgiji ndipo mtakapo dhalilika maana mmeonesha utoto sana!
Huwezi kushabikia sehemu ambayo huna maslahi nayoMakamanda uchwara ni kama wamepungua siku hizi hapa JF baada ya uchaguzi huko chamani.
Mi sijaelewa kwani mkutano wa chadema unaathiri vipi mkutano wa serikali?Tuendane na teknolojia.
Haina haja ya kugombana, afanye Zoom Meeting na live streaming kila anayetaka kuuona mkutano aufuate huko.
Kwani mnyika atatumia lugha gani?wanaogopa wageni wasije wakasikia
Hupendi mi kua mkosoaji wa Lissu?? Ndo ishakua sasa tutawafundisha adabu nyie kima.Tuliza gubu kijana wa Mbowe. Kwahiyo Mbowe angeshinda leo mngelianzisha? Maana naye dakika za mwisho aliahidi mapambano. Halafu unajua kuwa reform ni azimio la kamati kuu ya Mbowe? Sisi Mbowe tunamheshimu shida ni nyie machawaz.
Ngoja kidogo muda unasogea pole pole.Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Hizi ni kauli za mtu asiyejiheshimu. Tumbo kubwa kuliko la Nape au Wassira?Lissu hana akili na lile tumbo lake kubwa Kama pakacha… kamtukana sana Mbowe na tutahakikisha anaaibika vibaya sana liwe funzo kwa wanaharakati wahuni na washenzi.
CHADEMA haiendi popote chini ya huyo mhuni wa ubelgijiHizi ni kauli za mtu asiyejiheshimu. Tumbo kubwa kuliko la Nape au Wassira?
Lissu ataabika vipi na ni matusi gani alimtukana Mbowe?
CHADEMA itakuwa Imara kuliko Jana.
Ndo maana nasema siku zote AU ni genge la viongozi na siyo kwa maslahi ya Waafrika.Ulinzi kwamba mkutano wa CHADEMA unahatarisha usalama wa nani?
Kazi yao ni kuhama Kambi. Siku hizi wamehamia Kwa Mchina na Mrusi.Ndo maana nasema siku zote AU ni genge la viongozi na siyo kwa maslahi ya Waafrika.
Sawa.CHADEMA haiendi popote chini ya huyo mhuni wa ubelgiji
Kwa hiyo unataka kusema kuwa makamanda uchwara walikuwa ni mashabiki wa Mbowe?😂...Mashabiki wa Mbowe wanaogopa kwenda kwa familia yake ameshawaaga ,Pesa hakuna tena kwa machawa wake...
Unaona umepatia😀😆😃Kwa hiyo unataka kusema kuwa makamanda uchwara walikuwa ni mashabiki wa Mbowe?😂
Tena sana tu😎Unaona umepatia😀😆😃