ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
Ni majambazi yanayovaa uniformHili siyo jeshi ni genge la vibaka
Usalama wa nyoko?Niliwaambia kiusalama hiyo Press haitawezekana
Hiyo utajua Wewe 🐼Usalama wa nyoko?
Press yake inazuiaje huo ugeni? Wacha upumbavu Jo.Mnyika aache ujinga Nchi ina ugeni mkubwa 😂
Basi mtuzuie na kupiga chafya mpaka mkutano uishe.Wanaimarisha ulinzi
Nyie mngekuwa na akili mngechagua nyara toka hifadhi ya Gombe iwaongoze? Shwaini wa kijani nyieAkili zenyewe mnazo,hamkawii kukurupuka na maandamano!
ShwainiHiyo utajua Wewe 🐼
Unaelewa Maana ya Chama kikuu Cha upinzani Lakini?Press yake inazuiaje huo ugeni? Wacha upumbavu Jo.
utoto wa chadema wakkuwa watakujaga kuacha huo upuuziSema Chadema hapa nitasema wachokozi. Yaani jengo hilo hilo kunafanyika Mkutano wa Nishati nao wanataka kuongea na waandishi? The same place? Siyo sawa. Wangeenda fanyia sehemu nyingine.
Hizo najua siyo akili zako ni visungura hivyo.Unaelewa Maana ya Chama kikuu Cha upinzani Lakini?
Mnyika anaweza kutangaza tishio Fulani Sasa wenzetu wako makini sana tofauti na nyie
Unadhani Mnyika ni Mjinga kuitisha Press wakati Mkutano ukiwa unaendelea? 🐼
We have the poorest police service.Poor Police!!
Bado una kisirani kilewooooo😂😂Lisu si yupo, na afanye mshike mshike polisi waondoke