Nadhani hawafahmu kwamba hela iliyoko mfukoni mwako bado ni mali ya serikali ww unamiliki thamani (value) yake tu. Na pia ni moja ya nembo ya taifa hivyo haipaswi kufujwa ama kudunishwa ktk hali yyte ile itakayoishushia thamani yake. Hii mitandao ni shida waache tu wakutane na pilatoPolisi inamshikiria mtangazaji Soudy Brown na mwanamuziki Maua Sama kwa kosa la uharibifu wa mali. Inadaiwa wameonekana mtandaoni wakirusha hela na kuzikanyaga
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Mambosasa amethibitisha
Mmbea kapatikana[emoji23]Polisi inamshikiria mtangazaji Soudy Brown na mwanamuziki Maua Sama kwa kosa la uharibifu wa mali. Inadaiwa wameonekana mtandaoni wakirusha hela na kuzikanyaga
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Mambosasa amethibitisha
Naomba Picha ya Soud Brown akiwa nje ya Mask plzPolisi inamshikiria mtangazaji Soudy Brown na mwanamuziki Maua Sama kwa kosa la uharibifu wa mali. Inadaiwa wameonekana mtandaoni wakirusha hela na kuzikanyaga
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Mambosasa amethibitisha
.Naomba Picha ya Soud Brown akiwa nje ya Mask plz
Ilikua ni kwa habari za lissu tuMliwahi kusema hamfanyii kazi taarifa za mitandaoni!!?