KERO Jeshi la Polisi Mbeya limeshindwa kudhibiti madereva bajaji wanaovunja sheria kwa makusudi?

KERO Jeshi la Polisi Mbeya limeshindwa kudhibiti madereva bajaji wanaovunja sheria kwa makusudi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

kennytapwazy

New Member
Joined
Feb 11, 2025
Posts
1
Reaction score
0
Imekuwa ni kawaida na mazoea makubwa sana sasa kwa madereva bajaji mkoa wa Mbeya kupakia abiria wawili mbele na wengine wakiwa wamening'inia na dereva kuendesha bajaji huku akiwa amechuchumaa tena main road kila siku na wahusika wapo tu wanawaangalia kila siku hawawachukulii hatua zozote zile wakiwepo na jeshi la polisi.

Hii ni hatari sana kwa usalama wa abiria.
 
Back
Top Bottom