Wakuu,
katika mwaka huu 2013/14 wamewaacha wanafunzi wa sheria LLB na kuchukua tu wanafunzi waliomaliza BALE yaani usimamizi wa sheria na utekelezaji ambao wamespecialize kwenye upolisi.rai yangu kwa wanafunzi wa sheria lengo likiwa ni kufanya kazi ktk field za usimamizi wa sheria mkaliona hilo mapema.
katika mwaka huu 2013/14 wamewaacha wanafunzi wa sheria LLB na kuchukua tu wanafunzi waliomaliza BALE yaani usimamizi wa sheria na utekelezaji ambao wamespecialize kwenye upolisi.rai yangu kwa wanafunzi wa sheria lengo likiwa ni kufanya kazi ktk field za usimamizi wa sheria mkaliona hilo mapema.