Jeshi la polisi

johnson.linus

Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
5
Reaction score
0
hi wananchi wenzangu mnaona kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuendelea kuwepo nchini?

kwa upande wangu sioni haja ya kuwepo kama badala ya kuwalinda wananchi ndo linaongoza kuuwa raia wasiokuwa na hatia yoyote!
 
Ulazima upo, but the whole thing is mismanaged
 
Jeshi hili ni la muhimu kuwepo. Ila mapungu kwenye utendajio wake ndio yanatakiwa Yarekebishwe

Ili Imani iendelee kewepo juu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…