Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
wadau ni lini jeshi hili POLISI litarejeshwa kwa wananchi ambao ndiyo waajili wao kupitia idara ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao ili nalo lipate heshima?
Likaondokana na hii sura ya sasa ya kuwa Jeshi la kulinda viongozi wadhalimu na kupiga raia hovyo