Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Nimesikia Jeshi la Rwanda limeenda Msumbiji na limefanikiwa kurejesha miji iliyokuwa imemilikiwa na waasi huko msumbiji ila katika historia kuna ukweli kwamba kuna majeshi yalisha kwenda huko kupambana na waasi bila mafanikio ya kurejesha miji hiyo.
swali ni Je, Rwanda inatupa ujumbe gani sisi wana Africa Mashariki, Sadc, Comesa na nchi zingine jirani na Africa mshariki kwamba ni taifa ndogo ila wana uwezo mkubwa kivita wa kufanya kitu flani kupitia majeshi yao.
Nadhani wana tuelewa kuwa Tanzania, Uganda na Kenya kati ya wengine wengi tumewasoma vizuri kwa hiyo tusiwajaribu.
swali ni Je, Rwanda inatupa ujumbe gani sisi wana Africa Mashariki, Sadc, Comesa na nchi zingine jirani na Africa mshariki kwamba ni taifa ndogo ila wana uwezo mkubwa kivita wa kufanya kitu flani kupitia majeshi yao.
Nadhani wana tuelewa kuwa Tanzania, Uganda na Kenya kati ya wengine wengi tumewasoma vizuri kwa hiyo tusiwajaribu.