Jeshi la Uhamiaji rejesheni operation kama Kikwete za kuwafukuza wahamiaji haramu

Jeshi la Uhamiaji rejesheni operation kama Kikwete za kuwafukuza wahamiaji haramu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Uhamiaji kwanini mlisitisha operation za wahamiaji haramu muda mrefu hivi Kwa mkoa wa Kagera na Kigoma

Zamani sisi watu wa Kagera na Kigoma tulizoea ikifika mwezi march ni msako nyumba Kwa nyumba kuwasaka wahamiaji haramu ila Kwa Sasa kipo kimya miaka zaidi ya 10

Uhamiaji ni jeshi mpo tu airport kukagua passport na maofsini kuja mtaani hamwonekani, mnaota vitambi tu

Uhamiaji haramu ni uharifu endelevu
Watu wasio raia wanaotishia amani sisi raia wa mpakani

Kikwete alifanya vyema, alisaidia sana kuwafukuza na hakika hawakuingia nchini kwetu ovyo kama Sasa

Jeshi la Uhamiaji mpo airport na mipakani kukagua passport tu

Wahamiaji haramu hawapiti hizo njia.

Wahamiaji haramu wanaoingia mpakani, wanahonga na kupata kadi ya mpiga kura au ya Chama, au kuoa Mtanzania akifanya hivo ashakuwa raia

Wahamiaji haramu Sasa wanapata haki zote za raia kikatiba ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n.k

Kwa Sasa mnaona ya kawaida ila naona shida miaka mingine ijayo Kwa Uhamiaji haramu unaoendelea sasa

Mkoa wa Kagera na Kigoma ipo siku itakuwa ardhi ya nchi zingine Kwa ukimya huu wa jeshi la Uhamiaji
 
Kwa hiyo wahamiaji haramu wanatokea Burundi na Kongo tu. Tz imepakana na nchi kibao why Kagera na Kigoma????
 
Unajua jinsi gan ilileta maafa kwa raia
Labda watumie mbinu ingne
 
Uhamiaji kwanini mlisitisha operation za wahamiaji haramu muda mrefu hivi Kwa mkoa wa Kagera na Kigoma

Zamani sisi watu wa Kagera na Kigoma tulizoea ikifika mwezi march ni msako nyumba Kwa nyumba kuwasaka wahamiaji haramu ila Kwa Sasa kipo kimya miaka zaidi ya 10

Uhamiaji ni jeshi mpo tu airport kukagua passport na maofsini kuja mtaani hamwonekani, mnaota vitambi tu

Uhamiaji haramu ni uharifu endelevu
Watu wasio raia wanaotishia amani sisi raia wa mpakani

Kikwete alifanya vyema, alisaidia sana kuwafukuza na hakika hawakuingia nchini kwetu ovyo kama Sasa

Jeshi la Uhamiaji mpo airport na mipakani kukagua passport tu

Wahamiaji haramu hawapiti hizo njia.

Wahamiaji haramu wanaoingia mpakani, wanahonga na kupata kadi ya mpiga kura au ya Chama, au kuoa Mtanzania akifanya hivo ashakuwa raia

Wahamiaji haramu Sasa wanapata haki zote za raia kikatiba ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n.k

Kwa Sasa mnaona ya kawaida ila naona shida miaka mingine ijayo Kwa Uhamiaji haramu unaoendelea sasa

Mkoa wa Kagera na Kigoma ipo siku itakuwa ardhi ya nchi zingine Kwa ukimya huu wa jeshi la Uhamiaji
 

Attachments

  • IMG-20250115-WA0008.jpg
    IMG-20250115-WA0008.jpg
    77.1 KB · Views: 3
Uhamiaji kwanini mlisitisha operation za wahamiaji haramu muda mrefu hivi Kwa mkoa wa Kagera na Kigoma

Zamani sisi watu wa Kagera na Kigoma tulizoea ikifika mwezi march ni msako nyumba Kwa nyumba kuwasaka wahamiaji haramu ila Kwa Sasa kipo kimya miaka zaidi ya 10

Uhamiaji ni jeshi mpo tu airport kukagua passport na maofsini kuja mtaani hamwonekani, mnaota vitambi tu

Uhamiaji haramu ni uharifu endelevu
Watu wasio raia wanaotishia amani sisi raia wa mpakani

Kikwete alifanya vyema, alisaidia sana kuwafukuza na hakika hawakuingia nchini kwetu ovyo kama Sasa

Jeshi la Uhamiaji mpo airport na mipakani kukagua passport tu

Wahamiaji haramu hawapiti hizo njia.

Wahamiaji haramu wanaoingia mpakani, wanahonga na kupata kadi ya mpiga kura au ya Chama, au kuoa Mtanzania akifanya hivo ashakuwa raia

Wahamiaji haramu Sasa wanapata haki zote za raia kikatiba ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n.k

Kwa Sasa mnaona ya kawaida ila naona shida miaka mingine ijayo Kwa Uhamiaji haramu unaoendelea sasa

Mkoa wa Kagera na Kigoma ipo siku itakuwa ardhi ya nchi zingine Kwa ukimya huu wa jeshi la Uhamiaji
Ifike wakati mipaka iliyowekwa na wakoloni isitugombanishe sisi waafrka wenyewe kwa wenyewe.

View: https://youtube.com/shorts/OSb73U_snsA?si=PV5AKxkgrVtZon18
 
Tegeta,Bunju Boko na Mbweni wamejaa warundi na ndio waendesha bodaboda na bajaji wakubwa viongozi fanyieni kazi
 
Uhamiaji kwanini mlisitisha operation za wahamiaji haramu muda mrefu hivi Kwa mkoa wa Kagera na Kigoma

Zamani sisi watu wa Kagera na Kigoma tulizoea ikifika mwezi march ni msako nyumba Kwa nyumba kuwasaka wahamiaji haramu ila Kwa Sasa kipo kimya miaka zaidi ya 10

Uhamiaji ni jeshi mpo tu airport kukagua passport na maofsini kuja mtaani hamwonekani, mnaota vitambi tu

Uhamiaji haramu ni uharifu endelevu
Watu wasio raia wanaotishia amani sisi raia wa mpakani

Kikwete alifanya vyema, alisaidia sana kuwafukuza na hakika hawakuingia nchini kwetu ovyo kama Sasa

Jeshi la Uhamiaji mpo airport na mipakani kukagua passport tu

Wahamiaji haramu hawapiti hizo njia.

Wahamiaji haramu wanaoingia mpakani, wanahonga na kupata kadi ya mpiga kura au ya Chama, au kuoa Mtanzania akifanya hivo ashakuwa raia

Wahamiaji haramu Sasa wanapata haki zote za raia kikatiba ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n.k

Kwa Sasa mnaona ya kawaida ila naona shida miaka mingine ijayo Kwa Uhamiaji haramu unaoendelea sasa

Mkoa wa Kagera na Kigoma ipo siku itakuwa ardhi ya nchi zingine Kwa ukimya huu wa jeshi la Uhamiaji
Hapa nipo CRDB tawi la KAMBARAGE..Dodoma..nimekaa na warundi mtu na mama yake wanaongea kirundi tu HAPA...tunasubiri huduma.
 
Uhamiaji kwanini mlisitisha operation za wahamiaji haramu muda mrefu hivi Kwa mkoa wa Kagera na Kigoma

Zamani sisi watu wa Kagera na Kigoma tulizoea ikifika mwezi march ni msako nyumba Kwa nyumba kuwasaka wahamiaji haramu ila Kwa Sasa kipo kimya miaka zaidi ya 10

Uhamiaji ni jeshi mpo tu airport kukagua passport na maofsini kuja mtaani hamwonekani, mnaota vitambi tu

Uhamiaji haramu ni uharifu endelevu
Watu wasio raia wanaotishia amani sisi raia wa mpakani

Kikwete alifanya vyema, alisaidia sana kuwafukuza na hakika hawakuingia nchini kwetu ovyo kama Sasa

Jeshi la Uhamiaji mpo airport na mipakani kukagua passport tu

Wahamiaji haramu hawapiti hizo njia.

Wahamiaji haramu wanaoingia mpakani, wanahonga na kupata kadi ya mpiga kura au ya Chama, au kuoa Mtanzania akifanya hivo ashakuwa raia

Wahamiaji haramu Sasa wanapata haki zote za raia kikatiba ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n.k

Kwa Sasa mnaona ya kawaida ila naona shida miaka mingine ijayo Kwa Uhamiaji haramu unaoendelea sasa

Mkoa wa Kagera na Kigoma ipo siku itakuwa ardhi ya nchi zingine Kwa ukimya huu wa jeshi la Uhamiaji
Njoo unikamate,mimi ni muhamiaji haramu,alafu nakula vyakula haramu kama nguruwe,pia naishi maeneo haram kama nampo lapugu,,,,njoo sasa ivi!!!
 
Back
Top Bottom