Jeshi la Uingereza lataka kuifufua K. A.R.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Jeshi la Uingereza limetangaza juzi August,17, kwamba linataka kuwaandikisha katika jeshi vijana Waafrika ,vijana kutoka nchi za Afrika zilizopo katika Jumuia ya Madola; nchi kama Kenya, Tanzania,Msumbiji, South Africa.
So far,wametaja kuwaajiri wahandisi na wasanii,no mention of fighters yet .
Watu wengine wanasema labda ni matayarisho ya WW3.
 
Russia wana Wagner Group. Ufaransa wana Foreign Legion. Haya ni majeshi ya kukodi aka mercenary armies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…