Jeshi la Ulinzi la Yemen laionya Israel kuwa hata kama inauza assets zake za baharini ili kukwepa vikwazo vya jeshi la Yemeni, Vitachapwa tu!

Jeshi la Ulinzi la Yemen laionya Israel kuwa hata kama inauza assets zake za baharini ili kukwepa vikwazo vya jeshi la Yemeni, Vitachapwa tu!

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Msemaji wa Jeshi la Yemeni maarufu kama Houthis brigadier Jenerali Yahaya Saree, amesema kuwa Wanazo taarifa za kiintelijensia kuwa Serikali ya kigaidi ya Israel imeanza kufanya ujanja wa kuuza meli zake na asstes zake mbalimbali za baharini kwa watu wengine ili kukwepa vikwazo vya baharini walivyowekewa na Jeshi la Yemeni. Hata hivyo Jenerali huyo wa Jeshi la Yemeni amesema kuwa, hata kama Israel itaendelea na mpango huo, basi vichapo kwa meli hizo viko palepale.

Jeshi la Yemeni limeiwekea vikwazo biashara zote za baharini zenye mahusiano na Israel zisipite katika bahari ya mwambao wa Yemeni ili kuiwekea presha Israel iache kufanya mauaji ya halaiki huko Gaza (Genocide). Mpaka sasa bandari ya Haifa huko Israel imepata pigo kubwa sana maana kiwango cha mzigo kinachofika huko ni kidogo mno kulinganisha na kipindi vita ilipokuwa hakuna.

Taarifa zinasema kuwa Marekani imekuwa ikijaribu kuiomba Irani itumie ushawishi wake kwa Wahouthi ili waache operesheni yao ya kuzuia meli zenye mahusiano ya kibiashara na Israel zipite, hata hivy Wahouthi wameendeleza msimamo wao bila kuyumba.

Marekani, Uingereza na Israel yenyewe zimeshajaribu kuwapiga wahouthi kijeshi lakini hilo pia halijazuia wahouthi kuendeleza operesheni zao dhidi ya Israel ikiwemo kupiga Israel moja kwa moja kwa makombora ya ballistic na drones.

Ikumbukwe nchi ya kwanza kuitwanga Israel kwa drone ni Yemeni miezi michache iliyopita walipoitwanga Tel Aviv kabla ya Israel kuchanganyikiwa na kwenda kulipua assets za kiraia za bandari na matanki ya mafuta.

=============

The spokesperson for the Yemeni Armed Forces, Brigadier General Yahya Saree, issued a stern warning to Israeli shipping companies against attempting to sell or transfer their assets to evade the Yemeni Armed Forces's operations.

He emphasized that intelligence reports have confirmed the involvement of several shipping companies linked to the Israeli occupation in a concerted effort to offload their assets, which includes transferring ownership of cargo ships to other entities or registering them under different names as a means to circumvent the punitive measures imposed by Sanaa.

Saree asserted that the Yemeni Armed Forces will not acknowledge any changes in ownership or flags of Israeli vessels. He cautioned all relevant parties against engaging with these companies or ships, as they remain subject to punitive measures and are barred from entering the operational areas specified in previous statements.

 
Hivyo vikwazo walivyoviweka vitasimamisha uchumi wa Israel kwa muda tu, lakini havitaizuia Israel kuendeleza vita vyake gaza na Lebanon, hata hivyo Israel Bado haijaanza mashambulizi ya nguvu kwa wa-houthi.
 
Hivyo vikwazo walivyoviweka vitasimamisha uchumi wa Israel kwa muda tu, lakini havitaizuia Israel kuendeleza vita vyake gaza na Lebanon, hata hivyo Israel Bado haijaanza mashambulizi ya nguvu kwa wa-houthi.

Vita ni uchumi

1. Watu huko Israel kutwa wako kwenye bunkers hawashiriki ipasavyo uzalishaji
2. Bandarini mzigo umekauka, whouthi wameathiri sana mzigo kwenye bandari za israel
3. Kupeleka jeshi kwenye uwanja wa vita ni pesa tupu

Soon Zayuni atatema bungo tu!

Sasa hivi Zayuni yuko busy kuombaomba kwa Marekani ampe pesa, hali si shwari!
 
Vita ni uchumi

1. Watu huko Israel kutwa wako kwenye bunkers hawashiriki ipasavyo uzalishaji
2. Bandarini mzigo umekauka, whouthi wameathiri sana mzigo kwenye bandari za israel
3. Kupeleka jeshi kwenye uwanja wa vita ni pesa tupu

Soon Zayuni atatema bungo tu!

Sasa hivi Zayuni yuko busy kuombaomba kwa Marekani ampe pesa, hali si shwari!
Mbona ndege za mizigo kila kukicha zinaIngia na kutoka kama kawaida? Unadhani Israel inategemea bandari pekee, Israel Bado inafanya biashara na mataifa mengi tu kwasasa.

Alafu ni lazima marekani kuisaidia Israel na sio useme Israel inaombaomba, usifananishe na zelensky ambae bado anamudu vita kwa silaha za kuombaomba.
 
Mbona ndege za mizigo kila kukicha zinaIngia na kutoka kama kawaida? Unadhani Israel inategemea bandari pekee, Israel Bado inafanya biashara na mataifa mengi tu kwasasa.

Alafu ni lazima marekani kuisaidia Israel na sio useme Israel inaombaomba, usifananishe na zelensky ambae bado anamudu vita kwa silaha za kuombaomba.

ndege si sawa na meli wewe.

meli moja inaweza kuingiza mzigo wa kubebwa na ndege 200
 
ndege si sawa na meli wewe.

meli moja inaweza kuingiza mzigo wa kubebwa na ndege 200
Pamoja na hayo si sawa kusema uchumi umesimama, kwani kwa kipindi cha mwaka mmoja wa vita ungekuta Israel imeshafilisika kabisa, hata ukiangalia maandamano yanayoendelea tel aviv wananchi kipaumbele chao ni mateka kuachiwa na sio uchumi kusimama,

Wao ndiokwanza hawana mpango hata wa kusitisha vita.
 
Ila wavaa vipedo, misuli na makobazi wana kimdomomdomo sana kama wanawake wa Buza kwa mpalange. Hakuna hata mmoja ambaye hajaonja kisago cha Wazayuni. Ukianzia kwa Hamas wa Gaza, Hezbollah wa Lebanon, hawa wahouthi wenyewe na hata Baba yao Ayotollah mkuu Iran lakini ha waachi kubwabwaja🤔
 
Mbona ndege za mizigo kila kukicha zinaIngia na kutoka kama kawaida? Unadhani Israel inategemea bandari pekee, Israel Bado inafanya biashara na mataifa mengi tu kwasasa.

Alafu ni lazima marekani kuisaidia Israel na sio useme Israel inaombaomba, usifananishe na zelensky ambae bado anamudu vita kwa silaha za kuombaomba.
Asilimia 90 ya biashara ya Israel inategemea bahari 2 ,bahari ya medetirania ,na bahari nyekundu , bahari nyekundu ndo imefungwa na wahuthi ,hivyo sasa hivi Israel inategemea bahari ya medetirania na yenyewe ikifungwa watakufa na njaa.
 
Vita ni uchumi

1. Watu huko Israel kutwa wako kwenye bunkers hawashiriki ipasavyo uzalishaji
2. Bandarini mzigo umekauka, whouthi wameathiri sana mzigo kwenye bandari za israel
3. Kupeleka jeshi kwenye uwanja wa vita ni pesa tupu

Soon Zayuni atatema bungo tu!

Sasa hivi Zayuni yuko busy kuombaomba kwa Marekani ampe pesa, hali si shwari!
Dah kweli Yemen wanaume. Hapa tayari wameshinda vita. Akili kubwa sana wametumia. Israel asiposalimu amri ndani ya siku saba mniite muongo.
 
Vita ni uchumi

1. Watu huko Israel kutwa wako kwenye bunkers hawashiriki ipasavyo uzalishaji
2. Bandarini mzigo umekauka, whouthi wameathiri sana mzigo kwenye bandari za israel
3. Kupeleka jeshi kwenye uwanja wa vita ni pesa tupu

Soon Zayuni atatema bungo tu!

Sasa hivi Zayuni yuko busy kuombaomba kwa Marekani ampe pesa, hali si shwari!
Wewe ndiye umeathiri uchumi wao? Uchumi wa Yemen upoje?
ndiyo mnadanganyana kuwa Israel wanaishi kwenye bunkers?
Mbona Houth wanaishi kwa kujificha Kama mapanya hamuwasemi?
 
Hivyo vikwazo walivyoviweka vitasimamisha uchumi wa Israel kwa muda tu, lakini havitaizuia Israel kuendeleza vita vyake gaza na Lebanon, hata hivyo Israel Bado haijaanza mashambulizi ya nguvu kwa wa-houthi.
Baba yake US na mjomba wake UK wamepiga mpaa wanechoka na bado Yemen anawatandika tu, iwe huyo kibosho wenu.
 
Bila kusahau wakazi wa Israel kaskazini wmaekimbia makazi yao sababu ya operesheni ya Hizbollah. Malaki ya hawa waisrael yanatgemea handouts za serikali ya Israel, kitu kinachoogeza mzigo wa kiuchumi
 
Vita ni uchumi

1. Watu huko Israel kutwa wako kwenye bunkers hawashiriki ipasavyo uzalishaji
2. Bandarini mzigo umekauka, whouthi wameathiri sana mzigo kwenye bandari za israel
3. Kupeleka jeshi kwenye uwanja wa vita ni pesa tupu

Soon Zayuni atatema bungo tu!

Sasa hivi Zayuni yuko busy kuombaomba kwa Marekani ampe pesa, hali si shwari!
Wewe unajua vizuri kwamba uchumi wa Iran ni cha mtoto mbele ya uchumi wa Israel. Israel ni moja ya nchi 15 tajiri sana duniani.
 
Mbona ndege za mizigo kila kukicha zinaIngia na kutoka kama kawaida? Unadhani Israel inategemea bandari pekee, Israel Bado inafanya biashara na mataifa mengi tu kwasasa.

Alafu ni lazima marekani kuisaidia Israel na sio useme Israel inaombaomba, usifananishe na zelensky ambae bado anamudu vita kwa silaha za kuombaomba.
Kama ndo akili yako ipo hivi ..sishangai kushabikia taifa la Israeli eti ni taifa lamungu pumbafu kabisa ..huwezi kutofautisha mzigo wa ndege na meli
 
Itaanza lini binyau
Hivyo vikwazo walivyoviweka vitasimamisha uchumi wa Israel kwa muda tu, lakini havitaizuia Israel kuendeleza vita vyake gaza na Lebanon, hata hivyo Israel Bado haijaanza mashambulizi ya nguvu kwa wa-houthi.
 
Back
Top Bottom