Jeshi la Yemen laipiga Tel Aviv kwa droni mpya ya 'Jaffa', taharuki yatanda

Jeshi la Yemen laipiga Tel Aviv kwa droni mpya ya 'Jaffa', taharuki yatanda

Stunnaman008

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2022
Posts
238
Reaction score
272
Mtu mmoja ameuawa huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa baada ya mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel kushindwa kutungua shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) lililofanywa na jeshi la Yemen dhidi ya mji wa bandari wa Jaffa (Yafa) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel, viungani mwa Tel Aviv.

Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema vikosi vya nchi hiyo vimeshambulia Tel Aviv kwa kutumia droni mpya iliyopewa jina la 'Jaffa' na kuongeza kuwa, "Tel Aviv sio eneo salama tena kwa kuwa hivi sasa ipo ndani ya shabaha ya silaha za Wayemen."

Amesema droni ya Jaffa ina uwezo mkubwa wa kukwepa mfumo wa ulinzi wa anga, na hakuna mfumo wowote wa rada unaweza kuigundua. "Sasa tutajikiti katika kushambulia maeneo ya ndani kabisa mjini Tel Aviv," ameongeza Msemaji wa Jeshi la Yemen.

Saree amesisitiza kuwa, wanajeshi wa Yemen wataendelea na operesheni zao za kijeshi, kwa kushambulia kwa makombora na droni maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, na kuzuia meli zinazomilikiwa na Israel au zile zinazoelekea katika bandari zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu, hadi pale usitishaji vita wa kudumu utakapotekelezwa katika Ukanda wa Gaza.

4bpw8f70a89f421burg_800C450.jpg
Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimekiri kutokea mashambulio hayo na kusema kwamba, operesheni hiyo ya leo alfajiri imezusha hofu na wasiwasi miongoni mwa maafisa na walowezi wa Kizayuni mjini Tel Aviv.

Haya yanajiri siku moja baada ya ndege za madola vamizi ya Marekani na Uingereza kufanya mashambulizi matatu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa al Hudaidah, magharibi mwa Yemen, kama sehemu ya kuwaunga mkono Wazayuni.

Operesheni hizo za majeshi ya Yemen za kuwaunga mkono wananchi madhulumu Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, zimekuwa na mafanikio makubwa na zinaendelea kuisababishia Israel hasara zisizo na kifani.
 
Mtu mmoja ameuawa huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa baada ya mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel kushindwa kutungua shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) lililofanywa na jeshi la Yemen dhidi ya mji wa bandari wa Jaffa (Yafa) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel, viungani mwa Tel Aviv.

Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema vikosi vya nchi hiyo vimeshambulia Tel Aviv kwa kutumia droni mpya iliyopewa jina la 'Jaffa' na kuongeza kuwa, "Tel Aviv sio eneo salama tena kwa kuwa hivi sasa ipo ndani ya shabaha ya silaha za Wayemen."

Amesema droni ya Jaffa ina uwezo mkubwa wa kukwepa mfumo wa ulinzi wa anga, na hakuna mfumo wowote wa rada unaweza kuigundua. "Sasa tutajikiti katika kushambulia maeneo ya ndani kabisa mjini Tel Aviv," ameongeza Msemaji wa Jeshi la Yemen.

Saree amesisitiza kuwa, wanajeshi wa Yemen wataendelea na operesheni zao za kijeshi, kwa kushambulia kwa makombora na droni maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, na kuzuia meli zinazomilikiwa na Israel au zile zinazoelekea katika bandari zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu, hadi pale usitishaji vita wa kudumu utakapotekelezwa katika Ukanda wa Gaza.

4bpw8f70a89f421burg_800C450.jpg
Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimekiri kutokea mashambulio hayo na kusema kwamba, operesheni hiyo ya leo alfajiri imezusha hofu na wasiwasi miongoni mwa maafisa na walowezi wa Kizayuni mjini Tel Aviv.

Haya yanajiri siku moja baada ya ndege za madola vamizi ya Marekani na Uingereza kufanya mashambulizi matatu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa al Hudaidah, magharibi mwa Yemen, kama sehemu ya kuwaunga mkono Wazayuni.

Operesheni hizo za majeshi ya Yemen za kuwaunga mkono wananchi madhulumu Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, zimekuwa na mafanikio makubwa na zinaendelea kuisababishia Israel hasara zisizo na kifani.
Majibu ya israel tayari kule kawekeni picha za watoto na wanawake dunia iwaonee huruma
 
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia Kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amwekewa vikwazo chungu nzima kutoka Kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo alivyowekewa. Hivyo Marekani ni mnafiki sana anafurahia kuona watu wanauwawa na jeshi la Israel. Angalia wanashambulia Hospital wanaua watoto ambao hawana hata hatia..lakini Marekani Kwa unafiki wao wanendelea kuwakumbatia Waisrael...eti taifa teule..
 
Kwaiyo unafurahi watoto wakiuliwa
Kwa hiyo nyie mnafirahia watu wakiuliwa Israel?
Hahahaha 🤣 kobaz mnachekesha
Mbona hicho kidogo Yemen inaenda kuwa kama Gaza
Take my words
Picha ndiyo imeanza agiza popcorn uangalie game kwanza
 
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia Kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amwekewa vikwazo chungu nzima kutoka Kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo alivyowekewa. Hivyo Marekani ni mnafiki sana anafurahia kuona watu wanauwawa na jeshi la Israel. Angalia wanashambulia Hospital wanaua watoto ambao hawana hata hatia..lakini Marekani Kwa unafiki wao wanendelea kuwakumbatia Waisrael...eti taifa teule..
Mkiwachokoza Israel lazima muwahishwe kuzimu mkapambane na bikra 72
No compromise with terrorists
 
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia Kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amwekewa vikwazo chungu nzima kutoka Kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo alivyowekewa. Hivyo Marekani ni mnafiki sana anafurahia kuona watu wanauwawa na jeshi la Israel. Angalia wanashambulia Hospital wanaua watoto ambao hawana hata hatia..lakini Marekani Kwa unafiki wao wanendelea kuwakumbatia Waisrael...eti taifa teule..
Lakini huwa mnaichokoza israel wenyewe mkijibiwa eti israel mbaya hawekewi vikwazo si jana mlikuwa mnashangilia tela aviv kupigwa na drone?
 
Unaongea
Kwa hiyo nyie mnafirahia watu wakiuliwa Israel?
Hahahaha 🤣 kobaz mnachekesha
Mbona hicho kidogo Yemen inaenda kuwa kama Gaza
Take my words
Picha ndiyo imeanza agiza popcorn uangalie game kwanza
Unaongea kwa chuki mkuu
 
Back
Top Bottom