Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Dodoma na Msemaji wa Jeshi hilo,Naibu Kamishna wa Zimamoto na Uokoaji,Puyo Nzalayaimisi huku akiwaasa wakazi wa mabondeni kuwa makini katika kipindi hicho.