Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nendeni jengo la NSSF Ilala mkafungue ngazi zilizozuiwa zisitumike

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nendeni jengo la NSSF Ilala mkafungue ngazi zilizozuiwa zisitumike

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Kila nikitembelea jengo la NSSF Ilala hukuta kamba zimefungwa kwenye ngazi ili zisitumike hivyo kulazimisha zitumike lifti tu!

Kitendo hiki ni cha kuhatarisha usalama wa watumiaji wa jengo hilo la NSSF na pia kuonesha uzembe wa kikosi cha ukaguzi cha jeshi la zimamoto na uokoaji, msisubiri maafa yatokee ili muunde tume ya uchunguzi.
 
Kila nikitembelea jengo la NSSF Ilala hukuta kamba zimefungwa kwenye ngazi ili zisitumike hivyo kulazimisha zitumike lifti tu!

Kitendo hiki ni cha kuhatarisha usalama wa watumiaji wa jengo hilo la NSSF na pia kuonesha uzembe wa kikosi cha ukaguzi cha jeshi la zimamoto na uokoaji, msisubiri maafa yatokee ili muunde tume ya uchunguzi.
Kutumia LIFT kunahatarisha vipi usalama wako?
 
Back
Top Bottom