Jeshi la Zimbabwe latia fora kwenye International army games iliyohusisha nchi 30 huko Urusi

Jeshi la Zimbabwe latia fora kwenye International army games iliyohusisha nchi 30 huko Urusi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Jeshi la Zimbabwe latia fora baada ya kuamua kushiriki International army games huko Urusi inayohusisha nchi 30 duniani.

Katika mashindano hayo, kikosi bora cha tanks cha Zimbabwe kimeshindwa kulenga shabaha iliyowekwa, mbali ya kuchukua muda mwingi karibu mara mbili ya muda uliotumiwa na timu iliyokuwa ikishindana nazo, ambazo ni Iran, South Ossetia na Mali.

BTW, bora zao wao wameshiriki michezo hiyo ya kijeshi ya kimataifa, wametambua udhaifu wao na wamejifunza mengi tu...watafanyia kazi.


 
Jeshi la Zimbabwe latia fora baada ya kuamua kushiriki International army games huko Urusi inayohusisha nchi 30 duniani.

Katika mashindano hayo, kikosi bora cha tanks cha Zimbabwe kimeshindwa kulenga shabaha iliyowekwa, mbali ya kuchukua muda mwingi karibu mara mbili ya muda uliotumiwa na timu iliyokuwa ikishindana nazo, ambazo ni Iran, South Ossetia na Mali.

BTW, bora zao wao wameshiriki michezo hiyo ya kijeshi ya kimataifa, wametambua udhaifu wao na wamejifunza mengi tu...watafanyia kazi.




Wakalime viazi, suala la shabaha wawaachie wazungu, waarabu, wachina, wakorea, n.k
 
Safi sana miaka 15 iliyopita hakuna taifa ambalo linge thubutuu kufanya hivyo linge chezea kichapo toka west

Hayo mazoezi ya nchi 30 yaliyo alikuwa na Russia Yana dhihirisha nguvu aliyonayo Russia Sasa ktk medani ya siasa za kimataifa
 
Safi sana miaka 15 iliyopita hakuna taifa ambalo linge thubutuu kufanya hivyo linge chezea kichapo toka west

Hayo mazoezi ya nchi 30 yaliyo alikuwa na Russia Yana dhihirisha nguvu aliyonayo Russia Sasa ktk medani ya siasa za kimataifa
Hizi war games zimeanzishwa rasmi 2015 huko Russia na tangu zimeanzishwa nchi kibao za kiafrica zimeshashiriki.
 
Back
Top Bottom