Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu una A yakudanganya...Masuala ya usalama ni siri ila vifaa vipo vingi kutulinda usiogope
Hiyo ni siri ya kambiSwali chokonozi na fikirishi toka kwa Mjanja M1 kwenda kwa wajuzi wa mambo nchini.
Jeshi letu lina Ndege za kivita zisizotumia Rubani?
Kwa anaejua tunaomba miongozo tafadhali....
Wwatanunua za maonyesho ya December 9Swali chokonozi na fikirishi toka kwa Mjanja M1 kwenda kwa wajuzi wa mambo nchini.
Jeshi letu lina Ndege za kivita zisizotumia Rubani?
Kwa anaejua tunaomba miongozo tafadhali....
Sidanganyi mkuu enzi ya jk tulipata misaada mingi mno ya vifaa vya kisasa kutoka US na China pia UN walitupa kama Moja ya makubaliano kupeleka convoy Lebanon ,Sudan na Kongomkuu una A yakudanganya...
Bibie kuwa serious kidogo basiVitu hivyo vimetapakaa kila mahali, hawakosi kuwa nazo.
Hizo hata vijana wetu wa tabata wanaweza kuziunda wakielekezwa mara moja tu.
Hazina ajabu yoyote.
Kuna muda Bi Faiza huwa unavuta mjani.Vitu hivyo vimetapakaa kila mahali, hawakosi kuwa nazo.
Hizo hata vijana wetu wa tabata wanaweza kuziunda wakielekezwa mara moja tu.
Hazina ajabu yoyote.
Unamaanisha nini maana hata drones hizi zilizojaa bongo ni ndege zisizo na rubani na zinaweza kutumika kama silaha vitani.Swali chokonozi na fikirishi toka kwa Mjanja M1 kwenda kwa wajuzi wa mambo nchini.
Jeshi letu lina Ndege za kivita zisizotumia Rubani?
Kwa anaejua tunaomba miongozo tafadhali....
Najifukiza najipiga nyungu ya "mjani" kila siku mara mbili au tatu.Kuna muda Bi Faiza huwa unavuta mjani.