Jeshi moja "jwtz"

Jeshi moja "jwtz"

MR.KUMEKUCHA

Senior Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
146
Reaction score
19
Katiba mpya itaje tpdf kama jeshi pekee tanzania.polisi iwe idara ili wasijione kama jeshi na kusumbua wananchi na jukumu lao ni kutoa huduma kwa wananchi na si vinginevyo.kama polisi ni jeshi "tpdf" n nn?
 
Katiba mpya itaje tpdf kama jeshi pekee tanzania.polisi iwe idara ili wasijione kama jeshi na kusumbua wananchi na jukumu lao ni kutoa huduma kwa wananchi na si vinginevyo.kama polisi ni jeshi "tpdf" n nn?
Toa mfano nchi gani inaongozwa kuwa polisi ni idara
nchi ingekuwa inaongozwa kwa akili za watu kama nyie tungeshuhudia mambo mengi ya ajabu kabisa
 
Back
Top Bottom